Mkutano wa Wakopaji inasifiwa kama hatua muhimu katika juhudi za kurekebisha usanifu wa deni la kimataifa, linaloungwa mkono na UN na kujitokeza kama sehemu muhimu
Month: July 2025

Tabora. Kiongozi wa zamani wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama hicho kitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa masilahi ya Watanzania na si

Dar es Salaam. Wakati uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba ridhaa ya kuwania ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu Oktoba mwaka huu kupitia Chama

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya

Songea. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas amewaagiza viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kuimarisha ulinzi na utunzaji wa miundombinu ya stendi

Dar es Salaam. Wakati Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ikitoa orodha ya majina ya wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi kwa halmashauri zote

Moshi. Idadi ya watu waliofariki dunia katika ajali ya barabarani wilayani Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 42. Tayari Serikali imeshatangaza kuwa kesho, Julai 3,

‘TUKUTANE msimu ujao’. Ni kauli ya kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah akielezea furaha yake kuibakiza timu hiyo Ligi Kuu, akibainisha kuwa nyota wake

Iringa. Kufuatia wimbi kubwa la wananchi wa Iringa kukumbwa na changamoto ya mikopo kandamizi maarufu ‘kimangala’, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imepiga kambi mkoani hapa

MTIBWA Sugar imerejea Ligi Kuu Bara, ikiwa na moto ikianza kupiga hesabu za maana kwa upande wa usajili ikisuka jeshi lake litakalowabakisha wasishuke. Kikosi hicho