Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 52
Habari

Mawaziri wa Kikwete, JPM wanavyopambana kurejea mjengoni

July 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ukiacha makundi ya vijana, wanazuoni, watumishi wa umma na wanataaluma mbalimbali, uchukuaji fomu za ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), umewaibua mawaziri

Read More
Kimataifa

Maisha ya watoto ‘yalibadilika’ na vita kote Mashariki ya Kati, Afrika Kaskazini, anaonya UNICEF – Maswala ya Ulimwenguni

July 2, 2025 Admin

Kwa kushangaza, watoto milioni 110 katika mkoa huo wanaishi katika nchi zilizoathiriwa na vita, na nyumba, shule na vituo vya afya vilivyoharibiwa au kuharibiwa katika

Read More
Habari

Wafanyakazi wa majumbani 700 wapewa mafunzo Veta

July 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Zaidi ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi kupitia mtalaa mpya ulioanzishwa na Mamlaka ya

Read More
Habari

BOTRA Yafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Yajadili Maisha ya Wastaafu na Mustakabali wa Wanachama

July 2, 2025 Admin

  Dar es Salaam, Tanzania – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la

Read More
Habari

WATUMISHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAHIMIZWA USHIRIKIANO NA WIZARA ZA KISEKTA

July 2, 2025 Admin

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja akifungua kikao kazi cha kimkakati na Menejimenti na watumishi wa Ofisi hiyo leo Jumatano (Julai

Read More
Habari

Prof. Nagu: Tekelezeni Kikamilifu Program ya Malezi ya Awali ya Mtoto

July 2, 2025 Admin

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Tumaini Nagu amewakumbusha Wadau, Makatibu Tawala Mikoa,Maafisa lishe na Maafisa

Read More
Habari

TPDC, Energetech-Tantel wasaini makubaliano kuwezesha usindikaji na usambazaji wa gesi asilia nchini

July 2, 2025 Admin

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Energetech-Tantel zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) itakayowezesha usindikaji na usambazaji wa gesi asilia nchini kote. Utiaji

Read More
Habari

Watu milioni 14 wanaweza kufariki baada ya USAID kupunguza misaada

July 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Utafiti uliochapishwa kwenye jarida la The Lancet jana Jumatatu umebaini hatua ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kupunguza msaada

Read More
Habari

DIB Yalipa Bilioni 9 kwa Wateja wa Benki Zilizofungwa

July 2, 2025 Admin

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imewahimiza wananchi waliokuwa wateja wa benki zilizofungwa kutokana na kufilisika kujitokeza ili kuwasilisha madai yao ya fidia, huku ikibainisha

Read More
Habari

Muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye maandamano afariki

July 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Taarifa kutoka nchini Kenya zinasema kijana muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye hekaheka za maandamano ya Juni 17, 2025 amefariki dunia. Kijana huyo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 51 52 53 … 65 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.