Dar es Salaam. Ukiacha makundi ya vijana, wanazuoni, watumishi wa umma na wanataaluma mbalimbali, uchukuaji fomu za ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), umewaibua mawaziri
Month: July 2025

Kwa kushangaza, watoto milioni 110 katika mkoa huo wanaishi katika nchi zilizoathiriwa na vita, na nyumba, shule na vituo vya afya vilivyoharibiwa au kuharibiwa katika

Dar es Salaam. Zaidi ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi kupitia mtalaa mpya ulioanzishwa na Mamlaka ya

Dar es Salaam, Tanzania – Chama cha Wastaafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BOTRA) kimefanya mkutano wake mkuu wa mwaka ukiwa na lengo la

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Cyprian Luhemeja akifungua kikao kazi cha kimkakati na Menejimenti na watumishi wa Ofisi hiyo leo Jumatano (Julai

NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Tumaini Nagu amewakumbusha Wadau, Makatibu Tawala Mikoa,Maafisa lishe na Maafisa

TPDC, Energetech-Tantel wasaini makubaliano kuwezesha usindikaji na usambazaji wa gesi asilia nchini
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Energetech-Tantel zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MOU) itakayowezesha usindikaji na usambazaji wa gesi asilia nchini kote. Utiaji

Dar es Salaam. Utafiti uliochapishwa kwenye jarida la The Lancet jana Jumatatu umebaini hatua ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kupunguza msaada

Bodi ya Bima ya Amana (DIB) imewahimiza wananchi waliokuwa wateja wa benki zilizofungwa kutokana na kufilisika kujitokeza ili kuwasilisha madai yao ya fidia, huku ikibainisha

Dar es Salaam. Taarifa kutoka nchini Kenya zinasema kijana muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye hekaheka za maandamano ya Juni 17, 2025 amefariki dunia. Kijana huyo