Chalamila awaomba radhi watumiaji wa mwendokasi

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba radhi wakazi wa Kimara kuhusu adha wanayopitia wanapohitaji kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka, ikiwemo kupita dirishani. Ametoa kauli hiyo huku akiwapa ahadi ya neema siku chache zijazo, wakati ambao mabasi mapya yanatarajiwa kupokelewa. Haya yanasemwa wakati ambao Kampuni ya Mabasi Yaendayo…

Read More

TBA yaja na mkakati utekelezaji wa Dira 2050

Dar es Salaam. Katika hatua inayochangia utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) na Chama cha Watoa Huduma za Fedha kwa Njia ya Kidijitali(Tafina) wamesaini makubaliano yenye lengo la kuimarisha uchumi wa kidijitali na kuboresha usalama wa mifumo ya kifedha nchini. Dira ya 2050 iliyozinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Julai 17, 2025 inalenga kuijenga Tanzania…

Read More

Mabilioni ya misaada ya USAID yafutwa rasmi

Dar es Salaam. Bunge la Marekani limekamilisha hatua ya kulivunja rasmi Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID), baada ya kurejeshwa kwa fedha zilizotengwa kwa ajili ya misaada ya kibinadamu, huku Tanzania ikieleza hatua ilizochukua mpaka sasa. Hatua hiyo inatokana na kufungwa rasmi kwa shirika hilo Julai mosi, 2025, kufuatia maagizo yaliyotolewa na Rais…

Read More

Sh500 milioni  kuwawezesha wakulima wa karafuu Zanzibar 

Unguja. Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (Zeea) umesema hautoi mikopo kwa wananchi pekee badala yake unajipanga kutoa elimu ya kifedha ili fedha ili itumike kwa malengo kusudiwa.Hayo yameelezwa leo Alhamisi Julai 24, 2025 kisiwani Unguja na Mkurugenzi wa ZEEA, Juma Burhan Mohamed wakati wa utiaji saini hati ya makubaliano baina ya wakala huo na…

Read More

Taulo lisilofuliwa baada ya siku tatu bomu kiafya

Dar es Salaam. Ingawa baadhi ya watu huchukulia kwa mzaha usafi wa taulo linalotumika kujifutia maji au unyevu mwilini baada ya kuoga, wataalamu wa afya wamebainisha kuwa usafi wa kifaa hicho ni muhimu sana, hata kama hutumika mwili ukiwa tayari umesafishwa. Wameeleza kuwa taulo lina uwezo wa kuhifadhi bakteria wanaoweza kusababisha magonjwa mbalimbali ya ngozi…

Read More

Samia mgeni rasmi maadhimisho ya mashujaa

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa itakayofanyika kesho Julai 25,2025 Mtumba, jijini Dodoma. Hayo yamesemwa leo Julai 24, 2025 na Naibu Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko baada ya kukagua mazoezi ya mwisho kabla ya maadhimisho hayo. “Ni kuwakumbuka, kuwaenzi na kuwaheshimu mashujaa waliotoa maisha yao,…

Read More