Vurugu na uhamishaji kuendesha shida ya kibinadamu kwani mahitaji ya ufadhili hayataenda – maswala ya ulimwengu

Karibu Watu milioni 1.3 katika nchi ya Karibiani wamekimbia nyumba zaona nyongeza ya wiki 15,000 iliyoondolewa baada ya shambulio la silaha katika mawasiliano ya Dessalines na verrettes katika idara ya Artibonite. Zaidi, Mfuko wa watoto wa UN (UNICEF) na wenzi wake wamechunguza zaidi ya watoto 217,000 kwa utapiamlo mbaya mnamo 2025. Watoto wapatao 21,500 wamekubaliwa…

Read More

SHINCHEONJI TAEKWONDO TEAM WINS MEDALS AGAIN IN INTERNATIONAL COMPETITION, ELEVATING GLOBAL STATUS

The Shincheonji Taekwondo Team poses for a commemorative photo at the ‘2025 Park Jung-hee Cup International Open Taekwondo Championships.’ The international Taekwondo event was held from July 18 to 21 at the Sangju Indoor Gymnasium in Gyeongbuk, Korea.Bae Do-won, a member of the Shincheonji Church Taekwondo Team, performs poomsae in the individual recognized poomsae category…

Read More

Ikangaa, Akhwari wajitosa Urais RT

MBIO za kuwania nafasi katika Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) zinazidi kushika kasi kwa kujitokeza wagombea 20 hadi sasa wakiwamo watano wanaowania urais akiwamo nyota wa zamani wa kimataifa, Juma Ikangaa anayechuana na mtoto wa mkongwe wa mchezo huo, John Akhwari. Uchaguzi Mkuu wa RT unatarajiwa kufanyika Agosti 16 jijini Mwanza na nafasi zinazowaniwa ni…

Read More

Taifa Stars yawekewa Sh1 bilioni Chan 2024

KATIKA kuongeza hamasa ya kufanya vizuri kwenye Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024, wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars mezani wamewekewa kitita cha Sh1 bilioni endapo watatwaa ubingwa. Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 2 hadi 30 mwaka huu, Tanzania ni nchi mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda. Taifa…

Read More

Twange atoa maagizo mradi wa umeme Tanzania – Zambia

‎Iringa. Mradi wa kimkakati wa Tanzania- Zambia (Taza) unaolenga kuunganisha nchi hizo mbili kupitia njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga umefikia asilimia 60 upande wa njia ya kusafirisha umeme Aidha, kwa vituo vya kupoza vimefikia asilimia 31 ya utekelezaji wa mradi huo wenye thamani ya Sh2 trilioni. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme…

Read More

Damaro afunguka dili la Yanga SC

KATIKA siku za hivi karibuni, picha ya kiungo mkabaji wa Singida Black Stars, Mohammed Damaro, akiwa amevalia jezi ya Yanga, ilisambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua mjadala miongoni mwa mashabiki wa soka nchini huku wengi wakihoji uwepo wake ndani ya uzi huo. Picha hiyo ilizua hisia mbalimbali, wapo waliodhani tayari ametua Jangwani,…

Read More

Wadau wafunuka wasiwasi Sowah kutua Simba

Wakati Simba ikiripotiwa kuwa mbioni kumnasa Jonathan Sowah wa Singida Black Stars, Wachambuzi na makocha wa soka wameonyesha wasiwasi juu ya tabia za utovu wa nidhamu kwa nyota huyo ingawa wanaamini ni mshambuliaji sahihi kwa Wekundu hao wa Msimbazi. Sowah ambaye amefunga mabao 13 katika mechi 13 alizoitumikia Singida Black Stars tangu alipojiunga nayo katika…

Read More