Chama apata chimbo jipya Ligi Kuu Bara

KAMA ulikuwa na fikra kwamba Clatous Chama ndio basi tena katika Ligi Kuu Bara, basi pole kwani kiungo mshambuliaji huyo bado yupo sana na msimu ujao anatarajiwa kukiwasha akiwa na chama jipya la Singida Black Stars. Nyota huyo raia wa Zambia aliyekuwa akikipiga Yanga iliyomsajili msimu uliopita akitokea Simba na kumaliza na mabao sita na…

Read More

Watatu waagwa,  kwenda kuliamsha ANOCA Algeria

TANZANIA itawakilishwa na wanamichezo watatu katika mashindano ya kwanza ya Kamati za Olimpiki za Kitaifa za Afrika (ANOCA). Mashindano hayo yatafunguliwa Jumamosi ya Julai 26 huko Algiers, Algeria. Katika mashindano hayo, Tanzania itawakilishwa na wanariadha wawili, Grace Charles na Baraka Sanjigwa sambamba na mchezaji mmoja wa tenisi ya meza, Qutbuddin Taherali. Timu ya riadha itaongozwa na…

Read More

Kundi B linavyoipa matumaini Taifa Stars CHAN 2024

Timu 19 zilizogawanywa katika makundi manne zitashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 zitakazofanyika kuanzia Agosti 2 hadi 30 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Kundi A ambalo mechi zake zitachezwa katika nchi ya Kenya, linaundwa na wenyeji, Morocco, Angola, DR Congo na Zambia huku…

Read More

Abiria 49 wahofiwa kufariki ajali ya ndege

Moscow, Urusi. Takriban watu 49 wanahofiwa kufariki dunia baada ya ndege ya abiria kuanguka katika eneo la Mashariki ya mbali mwa Russia. Ndege hiyo aina ya Antonov An-26, inayomilikiwa na shirika dogo la ndege la Angara, ilipoteza mawasiliano na kituo cha kudhibiti safari asubuhi ya leo Alhamisi Julai 24, 2025 muda mfupi kabla ya kutua…

Read More

Serikali yapiga marufuku jezi feki CHAN 2024

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imewataka Watanzania kuhakikisha wanavaa jezi sahihi za timu ya taifa ‘Taif Stars’ katika kipindi chote cha Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) zitakazofanyika kuanzia Agosti 2 hadi Agosti 30 mwaka huu katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa…

Read More

Huku kukiwa na rekodi ya njaa na ukosefu wa usalama, msaada wa chakula cha dharura ili kutuliza kabisa – maswala ya ulimwengu

Wakati WFP Imeweza kushikilia njaa wakati wa kaskazini mwa Nigeria katika nusu ya kwanza ya 2025, mapungufu ya fedha yanahatarisha juhudi kama hizo, na mipango ya kuokoa maisha iliyowekwa kusaga hadi mwisho wa Julai. Bila ufadhili wa haraka, mamilioni ya watu walio katika mazingira magumu wataachwa bila msaada wa chakula kwani chakula na lishe ya…

Read More