Nafasi za kozi za vyuo vikuu kufikia malengo ya Dira 2050

Takriban wanafunzi 125,000 ambao ni zaidi ya asilimia 99 ya waliofanya Mtihani wa Kidato cha Sita mwaka huu wamefaulu. Hivi sasa vyuo vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu tayari zimefungua madirisha ya udahili na zinaendelea kupokea maombi ya wanafunzi wapya kwa mwaka wa masomo unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu. Hata hivyo, changamoto moja bado haijapata mwarobaini…

Read More

Tapa-HR watakiwa kuongeza weledi, kuondoa malalamiko kazini

Arusha. Wataalamu wa kada ya usimamizi wa rasilimali watu na utawala katika utumishi wa umma wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, kuepuka roho mbaya na kujiepusha na vitendo vya rushwa ili kupunguza malalamiko yanayotolewa dhidi yao kutoka kwa watumishi na wananchi wanaowahudumia. Wito huo umetolewa leo, Jumatano Julai 23, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali…

Read More

Matunda baada ya maonyesho Sabasaba 2025

Maonyesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba (DITF), yaliyofanyika mwaka 2025, yameweka historia kwa kuwa jukwaa lenye mvuto wa uwekezaji, ubunifu wa teknolojia na ushirikiano wa kimataifa. Upekee wa Sabasaba ya mwaka huu umejidhihirisha katika idadi kubwa ya washiriki ambao walikuwa zaidi ya 3,500 kutoka ndani na nje ya nchi na uwepo wa…

Read More