Mambo ya kukumbukwa miaka mitano bila hayati Mkapa

Dar es Salaam. Leo Julai 24, 2025, Watanzania wanatimiza miaka mitano tangu kumpoteza Rais mstaafu wa awamu ya tatu, hayati Benjamin Mkapa, kiongozi aliyesifika kwa busara, uchapakazi, na kauli zake zilizobeba ujumbe mzito kwa Taifa. Mkapa alifariki dunia Julai 24, 2020 na alizikwa Julai 29, 2020 kijijini kwao Lupaso mkoani Mtwara. Mkapa anakumbukwa kwa msemo…

Read More

UN rasmi inarudia wito wa kusitisha mapigano ya Gaza kama ‘ndoto ya idadi ya kihistoria’ inafanyika – maswala ya ulimwengu

Khaled Khiari, katibu msaidizi wa Mashariki ya Kati, aliwaambia mawaziri na mabalozi kwamba mazungumzo yanayoendelea lazima yasababisha mwisho wa uhasama, kutolewa kwa mateka wote, kuingia kwa msaada wa kibinadamu, na kwa uokoaji na ujenzi kuanza. Alipaka picha mbaya ya hali juu ya ardhi, akionyesha kupanua shughuli za kijeshi za Israeli, haswa katika Deir al-Balah, ambayo…

Read More

Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga

Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026. Kocha huyo mwenye leseni ya UEFA Pro na CONBEL Pro, ametua Yanga kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri baada ya kudumu kwa takribani miezi sita na kushinda ubingwa wa Ligi…

Read More