BILA ‘PPP’ MAENDELEO YATAKAWIA – BALOZI DKT. MWAMPOGWA

………..  NA MWANDISHI WETU, TANGA Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (Public and Private Partnership – PPP) ni muhimu sana katika kuchagiza kasi ya maendeleo na bila ushirikiano huo, maendeleo yatakawia kuwafikia wananchi kule walipo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wazalendo Huru Tanzania – Watoto wa Afrika, Balozi Dkt. Mohamed…

Read More

Tuzo ya Heshima kwa Shukrani Haule – NEMC Yang’ara!

Afisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira ( NEMC) Bi. Shukrani J. Haule amekabidhiwa tuzo ya Mfanyakazi Hodari wa Taasisi katika Mkutano wa Jumuiya za Wataalam wa Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala katika Utumishi wa Umma Tanzania (TAPA-HR), unaofanyika Jijini Arusha Katika Ukumbi wa kituo cha Mikutano…

Read More

JAB Yakabidhi Press Card kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Michuzi Media Group

●Waandishi Wengine Watakiwa Kuhakiki Viambatisho Katika Mfumo Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) Mkurugenzi Mtendaji wa Michuzi Media Group, Muhidin Issa Michuzi, kwa niaba ya waandishi wengine wanaoendelea kukamilisha taratibu za…

Read More

TANZANIA NA UTURUKI ZAWEKA LENGO KUBWA LA KIBIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,na Kaimu Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Bw. Ali Goktug IPEK,wakibadilishana Mkataba mara baada ya kusaini Azimio la Kamati ya Pamoja ya Biashara (JTC) kati ya Tanzania na Uturuki hafla iliyofanyika leo Julai 23,2025 jijini jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa ya…

Read More

RC ARUSHA AWATAKA POLISI KUTOGEUZA BODABODA CHANZO CHA MAPATO

Na Seif Mangwangi, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha Kenan Kihongosi ametoa siku tatu kwa madereva wa bodaboda Mkoa wa Arusha kuondoa kelele maarufu kama ‘Mafataki’ kwenye pikipiki zao kwa kuwa zimekuwa zikisababisha maradhi na kustua wagonjwa. Aidha Kihongosi amewataka Askari wa usalama barabarani Mkoani humo kutowageuza madereva wa bodaboda kama chanzo cha mapato kwa…

Read More

‘Dhoruba kamili’ ya misiba ya ulimwengu iliendesha miaka ya bei ya chakula: FAO – Maswala ya Ulimwenguni

Ripoti hiyo, kutolewa baadaye mwezi huu, inaonyesha jinsi kati ya 2020 na 2024, ulimwengu ulipata ongezeko kubwa la bei ya chakula inayoendeshwa na mchanganyiko wa COVID 19 Mfumuko wa bei, vita nchini Ukraine kuzuia harakati juu ya chakula na bidhaa, na kuongeza mshtuko wa hali ya hewa. “Vipindi vilivyoelezewa katika chapisho hili huleta kile tunachokiita…

Read More

JK KINARA MAANDALIZI YA KONGAMANO LA TICAD 9 NCHINI JAPAN

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ni miongoni mwa Watu Mashuhuri (Eminent Persons) kutoka bara la Afrika walioshiriki katika Kongamano Maalumu kuhusu Maendeleo, Usalama wa Chakula na Uchumi Endelevu wa Bluu barani Afrika lililofanyika tarehe 23 – 24, Julai 2025 katika mji wa Hakone, Japan.    Kongamano hilo lililoandaliwa kwa pamoja na Taasisi za Sasakawa…

Read More

Straika Azam FC awindwa Colombia

TIMU ya Independiente Santa Fe, imeonyesha nia ya kumuhitaji mshambuliaji wa Azam FC raia wa Colombia, Jhonier Blanco kwa ajili ya kukichezea kikosi hicho, ingawa hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa baina ya klabu hizo mbili. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata, zimeeleza Independiente Santa iliyoanzishwa Februari 28, 1941, Bogota Colombia, ikiwa inashiriki Ligi ya Categoria Primera…

Read More

Ahamada amesepa akiikumbuka Yanga | Mwanaspoti

HATIMAYE kipa Ali Ahamada ambaye alikuwa akiichezea KMC kwa mkopo akitokea Azam FC amefunga ukurasa wake wa kucheza soka la kulipwa nchini baada ya kumaliza mkataba wa miaka mitatu. Ahamada ambaye alikuwa akitajwa kati ya wachezaji ghali zaidi nchini, ameondoka nchini akiacha kumbukumbu mbalimbali, lakini kubwa zaidi kwake ni mechi dhidi ya Yanga iliyochezwa Desemba…

Read More