Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 58
Habari

Rais Samia amteua kigogo TIC kuwa bosi mpya TISEZA

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gilead Teri kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza). Teri

Read More
Kimataifa

Mateso ya ‘yasiyoweza kuhimili’ yanaendelea, afisa wa UN anaambia Baraza la Usalama – Maswala ya Ulimwenguni

July 1, 2025 Admin

Mabalozi wakuu katika Baraza la UsalamaKatibu Mkuu wa Khiari ya Mashariki ya Kati Khiari alisema zaidi ya Wapalestina 1,000 waliuawa tangu katikati ya Juni pekee,

Read More
Habari

TRA YATUMIA SABASABA KUTOA ELIMU YA KODI KWA MAENDELEO YA UCHUMI

July 1, 2025 Admin

:::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetumia Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kama jukwaa muhimu la kutoa elimu

Read More
Habari

BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.

July 1, 2025 Admin

::::::: Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L. Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo

Read More
Habari

TRA yaandika historia mpya ya makusanyo

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la

Read More
Habari

Mashine kusaidia uuzaji vinywaji bila muuzaji

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ili kuweka urahisi wa ufanyaji wa biashara pasipo uwepo wa watu, mbinu mpya na rahisi imebuniwa itakayofanya biashara kujiendesha kidigitali. Mbinu hiyo

Read More
Habari

Kukithiri udumavu Afrika kwawaibua wadau

July 1, 2025 Admin

Arusha. Jumuiya ya Afya ya Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA), na Mtandao wa Asasi za Kiraia zinazohusika na masuala ya lishe ( ESA SUN

Read More
Habari

Kifo cha mfungwa kilivyomsotesha gerezani mkuu wa gereza, wasaidizi wake kwa siku 1,110

July 1, 2025 Admin

Mtwara. Mahakama ya Rufani nchini, imewaachia huru mkuu wa Gereza la Kipule Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Mrakibu wa Magereza (SP), Girbet Sindani na maofisa

Read More
Habari

Mahakama ya Kisutu yasimamisha usikilizwaji kesi ya Lissu

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu  imesimamisha usikilizwaji wa kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni, inayomkabili Mwenyekiti wa Chama

Read More
Habari

Real Madrid vs Juventus Kukupatia Mshiko Mara 2 Leo – Global Publishers

July 1, 2025 Admin

Michuano ya Kombe la Dunia ngazi ya vilabu inaendelea ambapo timu mbalimbali zinawania kucheza hatua ya Robo Fainali. Wakali wa ODDS KUBWA

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 57 58 59 … 62 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.