RC KIHONGOSI ASIKILIZA KERO ZA WANANCHI WILAYA ARUMERU.

Na Veronica Ignatus  Mkuu wa mkoa wa Arusha Kenan Kihongosi  amewahakikishia wananchi wa Wilaya ya Arumeru kuwa changamoto zao zitatuliwa kwa wakati lengo ni kila mmoja kuona matunda ya kazi inayofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.  Amesema ameletwa katika mkoa huo ili kwa ushirikiano wa pamoja waweze kuleta mabadiliko ya uchumi wa kila mmoja…

Read More

WAZIRI MKUU AZURU CHUO KIKUU CHA KILIMO BELARUS

……….. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea Chuo Kikuu cha Kilimo cha Belarus (Belarusian State Agrarian Technical University – BSATU) na kufanya mazungumzo na viongozi wa chuo hicho wakiongozwa na Mkuu wa Chuo, Bw. Romaniuk Nikolai. Mazungumzo hayo yamefanyika leo (Jumatano, Julai 23, 2025) kwenye ukumbi wa mikutano wa chuo hicho jijini Minsk ambapo masuala ya…

Read More

Wazee wa mila wachukua hatua zaidi kuhifadhi mazingira

Dodoma. Serikali imehimizwa kutumia wazee wa mila katika juhudi za kulinda mazingira, kwani bila ushirikiano wao hali inaweza kuwa mbaya zaidi na migogoro kuongezeka. Ushauri huo umetolewa leo Jumatano Julai 23, 2024, na Mzee wa mila (Laigwanani) Lameck Kampu kutoka jamii ya wafugaji Kata ya Patimbo, Wilaya ya Kiteto. Ameeleza kuwa migogoro mingi hutokea kila…

Read More