125 wakamatwa wizi, dawa za kulevya Shinyanga

Shinyanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amesema kuwa jumla ya watu 125 wamekamatwa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kwa tuhuma za makosa mbalimbali, yakiwemo wizi na ushiriki katika vitendo vinavyohusiana na dawa za kulevya. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga Janeth Magomi akizungumza na waandishi wa habari mkoani Shinyanga. Akizungumza…

Read More

Wawekezaji wazidi kutolea macho soko la kifedha Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Pato la Taifa (GDP) likikadiriwa kukua kufikia asilimia 6.1 mwaka 2025, upanuzi katika sekta za Tehama, nishati, madini, fursa kwa uvumbuzi wa kifedha na huduma jumuishi za kibenki ni miongoni mwa sababu zinazofanya soko la kifedha Tanzania kutolewa macho na wawekezaji. Imeelezwa soko la Tanzania lina uwezo mkubwa katika mageuzi ya…

Read More

Watendaji wa Uchaguzi waaswa kuishi kwenye viapo vyao.

Wito huo umetolewa na Mratibu wa Mkoa wa Mafunzo Ndg. Tumaini Ng’unga kwa Niaba ya Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Magdalena Rwebangira wakati akifunga mafunzo ya siku tatu kwa Watendaji ngazi ya Jimbo ambapo amewasisitiza kuwa endapo watakiuka viapo hivyo watakuwa wamevunja sheria na watawajibika kwa kutenda kosa hilo. Aidha Ndg. Ng’unga…

Read More

Kocha Mfaransa atua Yanga na jembe jipya

KLABU ya Yanga imeendelea kuboresha benchi lake la ufundi kwa kufanya usajili mwingine muhimu, safari hii ikimleta kocha mkongwe wa makipa kutoka Tunisia, ambaye anatarajiwa kuungana rasmi na Kocha Mkuu, Romain Folz raia wa Ufaransa. Kocha huyo wa makipa anayekuja kuchukua nafasi ya Alae Meskini aliyetimkia AS FAR Rabat ya Morocco tangu Februari 19, 2025,…

Read More

TANZANIA NA BELARUS ZAFUNGUA UJKURASA MPYA WA USHIRIKIANO

 ::::::::: Waziri Mkuu wa Tanzania,  Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ziara yake nchini Belarus ambayo ni ya kwanza ya ngazi ya juu tokea nchi hizo zilipoanzisha uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1996, imefungua mwanzo mpya wa ushirikiano katika maeneo ya kimkakati yenye manufaa kwa pande zote mbili. Mhe. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo mbele ya waandishi wa…

Read More

Pazi yaipiga na kitu kizito Mgulani JKT

KIPIGO cha pointi 106-22 kutoka kwa Pazi, kimeifanya Mgulani JKT kujiweka katika wakati mgumu wa kubakia katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) mwakani. Mgulani ilipata kipigo hicho kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga kutokana na kufungwa michezo yote 10 huku ikibakiza mitano. Timu hiyo imekusanya pointi 10 ikiwa ni kutokana na kanuni zinazoipa pointi…

Read More