
July 2025


Mambo Wasiyopenda Wanaume Kwa Wanawake – Global Publishers
KUPITIA safu hii nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa wanawake. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu, baada ya muda mfupi kunatokea chokochoko, mwanaume anatimka zake. Jamaa anamkimbia na kwenda kuanzisha uhusiano mwingine. Baada ya kukimbiwa, mwanamke hakati tamaa. Anaanzisha uhusiano mwingine, ndani ya muda mfupi tu, anaambulia…

UN Chief inahimiza diplomasia wakati vita vilienea kutoka Gaza kwenda Ukraine – maswala ya ulimwengu
Hii ndio njia endelevu ya usalama wa ulimwengu, yeye aliambiwa Mawaziri katika mjadala wa kiwango cha juu cha Baraza la Usalama Jumanne. Katibu Mkuu alisisitiza kwamba Charter ya UNZana – mazungumzo, upatanishi, maridhiano, usuluhishi na zaidi – yanabaki kuwa njia ya maisha wakati mvutano unapoongezekaMalalamiko Fester na majimbo yanapoteza imani kwa kila mmoja. Zana hizi…

Mjadala wa kiwango cha juu juu ya makazi ya amani ya mzozo-maswala ya ulimwengu
© UNICEF/Diego Ibarra Sánchez Mvulana hutembea kwenye kifusi cha majengo yaliyoharibiwa katika mzozo kusini mwa Lebanon. (faili) Jumanne, Julai 22, 2025 Habari za UN Baraza la Usalama la UN linakutana leo kwa mjadala wa kiwango cha juu juu ya kukuza amani na usalama wa kimataifa kupitia multilateralism na makazi ya amani ya mizozo, iliyoongozwa na…

AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA NA MIAKA 30 JELA KWA KULAWITI NA KUBAKA
:::::::: Mahakama ya Wilaya ya TANGA mkoani TANGA imemuhukumu CHARLES FELIX (26), mfanyabiashara na mkazi wa DONGE, kifungo cha maisha pamoja na kifungo cha miaka 30 jela kwa makosa ya kulawiti na kubaka. Hukumu hiyo imetolewa tarehe 22/07/2025 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Tanga, Mheshimiwa KOBERO, ambapo ilibainishwa kuwa mshtakiwa alitenda makosa…

Njia ya kuishi ya chakula kwa mamilioni huko Sudan Kusini iliyopigwa na migogoro na mshtuko wa hali ya hewa – maswala ya ulimwengu
Mapema mwezi huu, shirika la UN lilianza Msaada wa chakula cha dharura Katika Jimbo la Upper Nile baada ya kuzidisha migogoro kulazimisha familia kutoka kwa nyumba zao na kusukuma jamii kwa ukingo wa njaa. Katika nchi nzima, picha hiyo ni ya kutisha tu, na nusu ya watu wa nchi – zaidi ya watu milioni 7.7…

Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu
YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

Ratiba mpya ya CCM mchakato watiania ubunge, udiwani
Dar es Salaam. Baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kubadili ratiba ya vikao vyake vya uteuzi wa watiania wa ubunge na uwakilishi, kimetoa ratiba mpya ya vikao vyote kufanikisha mchakato huo. CCM ilitangaza mabadiliko ya ratiba hiyo, Julai 19, 2025 kupitia kwa Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, huku akitaja sababu…

Offen Chikola asaini Yanga | Mwanaspoti
YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola. Kwa mujibu wa Yanga, Chikola amejiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Tabora United. Nyota huyo anakumbukwa na Wananchi kufuatia msimu uliopita kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara duru la kwanza kufunga…

CECAFA: Kujiondoa kwa Kenya kunahatarisha ari ya ushirikiano kikanda
Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limesikitishwa na kitendo cha timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ kujitoa kwenye michuano ya CECAFA 4 Nation inayoendelea kwenye Uwanja wa Black Rhino, Karatu mkoani Arusha. Michuano hiyo imeanza leo Julai 22, 2025 kwa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuitandika Timu ya Taifa ya…