Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 66
Habari

Akili unde kusaidia matibabu ya afya ya akili

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kutambua hatua za haraka ili kutibu tatizo linalokusumbua ni moja ya njia inayoweza kukusaidia kuwa salama. Lakini baadhi ya magonjwa kama msongo

Read More
Habari

Meridianbet Yawapa Wateja Thamani na Bonus ya 20% kwa Halopesa Push

July 1, 2025 Admin

MERIDIANBET imezindua ofa ya kipekee ili kuwapa wateja wao faida zaidi kwa kila miamala ya kila siku kupitia Halopesa. Kuanzia sasa, wateja wanaoweka pesa kwa

Read More
Habari

HUYU NDIYE UGIN MKINGA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MADABA

July 1, 2025 Admin

Ruvuma. Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la

Read More
Habari

UDSM yaja na bajaji inayotumia maji na mafuta

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati biashara ya usafirishaji ikiendelea kukua nchini, watu wanaendelea kubuni njia rahisi zitakazowawezesha kufanya shughuli zao kwa urahisi na kuwapunguzia gharama za

Read More
Kimataifa

Ripoti inaonyesha ongezeko kubwa la majeruhi wa raia na ukiukwaji wa haki nchini Ukraine – maswala ya ulimwengu

July 1, 2025 Admin

Inashughulikia kipindi Kuanzia 1 Desemba 2024 hadi 31 Mei 2025, wakati ambao raia 986 waliuawa na 4,807 walijeruhiwa – ongezeko la asilimia 37 ikilinganishwa na

Read More
Habari

25 wadakwa maandamano ya Gen-Z Kenya

July 1, 2025 Admin

Kenya. Watu 25 wamekamatwa nchini Kenya kutokana na vurugu zilizoibuka kwenye maandamano ya Juni 25, 2025 ya vijana maarufu Gen-Z yaliyofayika kwa lengo la kukumbuka

Read More
Habari

Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za

Read More
Habari

KADA WA CCM MACRINA AJITOSA UBUNGE VITI MAALUMU MKOA WA TANGA

July 1, 2025 Admin

  KADA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Macrina Clemens (kulia ) akikabidhiwa fomu na Katibu wa UWT Mkoa wa Tanga Anastazia Aman Na

Read More
Habari

Bei ya petroli, dizeli yashuka Julai

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na ya taa katika Bandari ya Dar es Salaam imeshuka ikilinganishwa na Juni 2025. Taarifa iliyotolewa

Read More
Habari

Mahakama Yamsimamisha Kazi Waziri Mkuu Thailand – Global Publishers

July 1, 2025 Admin

Waziri Mkuu, Paetongtarn Shinawatra Mahakama ya Katiba ya Thailand imemsimamisha kazi Waziri Mkuu, Paetongtarn Shinawatra, kufuatia sakata la kisiasa lililosababishwa na uvujishaji

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 65 66 67 … 69 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.