BILIONI NNE KUJENGA KIWANDA CHA KUZALISHA NISHATI MBADALA

::::: Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) wamesaini mkataba wenye lengo la kujenga kiwanda kipya cha kuzalisha nishati mbadala (Mkaa mbadala wa Rafiki Briquettes) mkoani Geita ambapo mkataba huo una thamani ya shilingi bilioni 4.5. Katika hafla iliyofanyika leo tarehe 22 Julai, 2025 katika Ofisi ndogo…

Read More

SUA yaanzisha programu sita za shahada za elimu ya amali

Morogoro. Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sua) kimeanzisha programu sita za shahada za kufundishia walimu masomo ya amali wa shule za sekondari nchini. Lengo walimu hao watakapohitimu wawe na ujuzi na weledi wa kufundisha masomo hayo kwenye shule za sekondari. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Julai 22, 2025 na Makamu Mkuu Sua, Profesa Raphael Chibunda…

Read More

 Hizi hapa athari za upweke

Dar es Salaam. Je, unafahamu kwamba upweke huathiri afya na ustawi wa mtu na unaweza kusababisha madhara ikiwemo kifo? Je, unajua mtu mmoja kati ya sita duniani kote anapambana na upweke? Ndio. Upweke ni halisia, utafiti umebainisha. Upweke ni hali ya huzuni na hisia ya kutoridhika inayotokana na kujihisi uko peke yako kinyume na vile…

Read More

Wamiliki wa saluni wamtwisha RC Kihongosi zigo la tozo, kodi

Arusha. Baadhi ya wamiliki na wafanyakazi wa saluni za kike na kiume mkoani Arusha wamelalamikia kutozwa kodi na tozo mbalimbali ambazo nyingine wamekuwa hawana uelewa nazo, makadirio ya kodi kuwa makubwa hali inayowafanya kurudi nyuma kiuchumi. Wengine wameiomba Serikali kuwa kada hiyo itambulike na kupatiwa fursa mbalimbali ikiwemo za mikopo inayotolewa na halmashauri, kwani itawasaidia…

Read More

Shule ya Kibasila yaanza kupika kwa kutumia nishati ya umeme

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya nishati safi ya kupikia yakiendelea kupigiwa chapuo katika taasisi zenye watu zaidi ya 100, Kibasila inakuwa shule ya kwanza ya msingi kuanza kutumia umeme kuandaa chakula cha wanafunzi. Shule hiyo yenye wanafunzi 640 sasa inaachana na kuni ilizokuwa ikitumia awali kuwaandalia wanafunzi chakula cha mchana baada ya kuzinduliwa kwa…

Read More

Wadau; Mikopo ya elimu ianzie ngazi ya msingi

Mbeya. Wadau wa elimu wakiwamo wazazi na walezi wameshauri kuwapo mpango wa Taifa wa kuwasaidia wanafunzi wanaotoka familia zisizojiweza kufikia ndoto zao kielimu. Kwani, hata baada ya elimu ya msingi kutolewa bure kwa wanafunzi wote, wapo wenye mahitaji maalumu wanaoishi na walezi au wazazi wasioweza kumudu mahitaji ya shule hasa vifaa. Hili linasemwa wakati ambao…

Read More

Taboa, Tamstoa walia na sheria ya mizigo

Dar es Salaam. Wamiliki wa mabasi na malori nchini Tanzania wameitaka Serikali kufanya marekebisho ya haraka katika sheria wanazozitaja “za kizamani na kandamizi” ambazo zinawawajibisha kwa makosa yanayofanywa na abiria. Hoja hii imekuja kufuatia kuwepo kwa sheria zinazowabana watoa huduma hizo za usfirishaji kwa vitendo vinavyofanywa na abiria, ilhali wao wakiwa hawana uwezo wa kuvidhibiti….

Read More

Mabasi mapya 99 ya mwendokasi Mbagala kuwasili Agosti

Dar es Salaam. Ndoto ya wakazi wa Mbagala kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka inakaribia kutimia, baada ya mabasi 99 kuanza kusafirishwa kutoka China kuletwa nchini kutoa huduma hiyo. Idadi hiyo ya mabasi yanayotarajiwa kuwasili Agosti 15, mwaka huu, ni sehemu ya yale 250 yatakayotoa huduma katika njia hiyo, ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya…

Read More

Mabasi mapya 99 mwendokasi Mbagala kuwasili Agosti

Dar es Salaam. Ndoto ya wakazi wa Mbagala kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka inakaribia kutimia, baada ya mabasi 99 kuanza kusafirishwa kutoka China kuletwa nchini kutoa huduma hiyo. Idadi hiyo ya mabasi yanayotarajiwa kuwasili Agosti 15, mwaka huu, ni sehemu ya yale 250 yatakayotoa huduma katika njia hiyo, ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya…

Read More