Kibu bado kidogo Marekani | Mwanaspoti

NDOTO ya mshambuliaji wa Simba SC na Taifa Stars, Kibu Dennis kucheza soka la kulipwa Marekani inakaribia kutimia baada ya klabu ya Nashville kumwongezea wiki ya majaribio kutokana na kile kinachoelezwa ni kivutio kwa makocha wa kikosi hicho. Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya karibu na mchezaji huyo, Kibu ambaye yuko Marekani tangu mwisho…

Read More

MABINTI MPWAPWA WAVUNJA UKIMYA, WACHUKUA HATUA KUPITIA UZAZI WA MPANGO

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv, Mpwapwa KATIKA kijiji cha Kikuyu, Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, kundi la wasichana wachanga limeamua kuvunja mnyororo wa umasikini kwa kuchukua hatua madhubuti za kupanga uzazi, baada ya kushuhudia changamoto zinazotokana na familia zenye watoto wengi na rasilimali haba. Irene Kawawa (18), ni miongoni mwa mabinti waliothubutu kuamua tofauti. Akiwa…

Read More

Kitasa Fountain Gate kuibukia Namungo

UONGOZI wa Namungo, uko katika mazungumzo ya kupata saini ya aliyekuwa beki wa kati wa Fountain Gate, Jackson Shiga, ukiwa ni mwendelezo wa kusuka upya eneo la kujilinda, baada ya kuondoka kwa Erasto Nyoni na Mrundi Derrick Mukombozi. Nyota huyo alijiunga na Fountain Gate dirisha dogo la usajili msimu wa 2024-2025, kwa mkataba wa miezi…

Read More

Othman ataka uwekezaji ujikite kuzalisha chakula

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman amewataka wawekezaji Zanzibar, kujikita na  kubuni mbinu bora zaidi katika uzalishaji wa bidhaa za chakula. Othman ameyasema hayo leo Julai 22, 2025 alipotembelea na kukagua kiwanda cha uzalishaji wa unga wa ngano na chakula cha mifugo cha  Flying Fox Mill kilichopo Finya Mgogoni, jimbo…

Read More

Metacha, Masalanga waanza mazungumzo mapya Singida BS

MAKIPA waliomaliza mikataba Singida Black Stars, Metacha Mnata na Hussein Masalanga wapo katika mazungumzo mapya na uongozi wa timu hiyo, kama wanaweza wakaendelea nao msimu ujao. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zinasema: “Tunafanya mazungumzo na makipa hao kwa kumshirikisha Kocha Miguel Gamondi, kama tutafikia nao muafaka basi tutawaongezea mikataba. “Ni makipa wazuri…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AKAGUA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA NANE LA MAFUNZO YA UONGEZAJI THAMANI MADINI VITO

  ……………………….. Bilioni 33 kukutumika kukamilisha Jengo la ghorofa pacha-TGC Arusha Biashara ya madini kufanyika kwenye Jengo Ni mkakati wa uongezaji thamani madini ya vito Wachimbaji Arusha wamshukuru Rais Samia kwa miundombinu ya jengo Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, leo Julai 22, 2025 ametembelea eneo la ujenzi wa jengo la kisasa la ghorofa nane…

Read More