Sababu wanawake kuumwa zaidi magonjwa ya uti wa mgongo

Moshi. Wakati wagonjwa wenye matatizo ya uti wa mgongo zaidi ya 200 wakifanyiwa upasuaji kila mwaka katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC wanawake wametajwa kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa wa tatizo hilo. Miongoni mwa sababu zinazotajwa ni ubebaji mimba za kufululiza, shughuli nyingi za kuinama bila kupumzika, kubeba mimba za watoto pacha,…

Read More

Shauri waumini Kanisa la Gwajima lawekewa pingamizi

Dar es Salaam. Wajibu maombi katika shauri lililofunguliwa na waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameweka pingamizi juu ya shauri hilo la kikatiba lililofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, Dodoma. Shauri hilo la maombi mchanganyiko namba 16408 limefunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa…

Read More

Jalada la ‘Dk Manguruwe’ bado linachunguzwa FCU

Dar es Salaam. Jalada la kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili, Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, bado lipo Kitengo cha Uhalifu wa Kifedha(FCU) kwa ajili ya kupitiwa na kukamilisha upelelezi. Mkondya na mwenzake, Rweyemamu John (59), ambaye ni mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, wanakabiliwa na mashtaka 28…

Read More

Polisi yawasaka waliotelekeza boti yenye mirungi Tanga

Tanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawasaka watu wawili ambao bado majina yao hayajafahamika baada ya kutoroka na kutelekeza boti  ambayo ilibeba shehena ya dawa za kulevya aina ya mirungi kutoka nchini Kenya, kuja Tanzania kupitia bahari ya Hindi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa…

Read More

Utafiti wabaini uchafuzi maji ya Ziwa Victoria

Mwanza. Utafiti uliofanywa na Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC) umebaini uchafuzi wa maji ya Ziwa Victoria unaongezeka kutokana na virutubisho vinavyotokana na shughuli za kibinadamu hasa katika miji ya Kisumu, Mwanza, Kampala na Entebbe. Ziwa Victoria ambalo ni ziwa kubwa kuliko yote barani Afrika na chanzo cha mto White Nile lina wastani wa…

Read More