Haya hapa matokeo waliopenya ubunge viti maalumu

Dar /Mikoani. Baadhi ya watiania ubunge viti maalumu wanaomaliza muda wao, katika mikoa minne wamefanikiwa kutetea nafasi hizo kwa kupenya kwenye mchakato wa kura za maoni uliofanyika leo Jumatano Julai 30,2025. Kura za maoni hizo zimefanyika katika mikoa mbalimbali kupitia mikutano mikuu ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT). Baadhi ya…

Read More

Haya hapa matokeo wabunge wa viti maalumu

Dar /Mikoani. Baadhi ya watiania ubunge viti maalumu wanaomaliza muda wao, katika mikoa minne wamefanikiwa kutetea nafasi hizo kwa kupenya kwenye mchakato wa kura za maoni uliofanyika leo Jumatano Julai 30,2025. Kura za maoni hizo zimefanyika katika mikoa mbalimbali kupitia mikutano mikuu ya Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT). Baadhi ya…

Read More

Wakulima wasio na ‘Kadi Janja’ Songwe kukosa fursa

Songwe. Wakulima wa kahawa mkoani Songwe wametakiwa kujisajili katika mfumo wa kidigitali na kupewa kadi janja ili kukunufaika na fursa mbalimbali ikiwamo mbolea za ruzuku, huduma za kifedha na bima. Akizungumza leo Julai 29, 2025 kwenye uzinduzi wa mfumo huo unaotekelezwa na kampuni ya Byz Tech kwa kushirikiana na bodi ya kahawa nchini (TCB), Mkuu…

Read More

Wazalishaji wa Pombe Walalamikia Kuenea kwa Pombe Haramu Nchini

Tanzania ni miongoni mwa nchi barani Afrika zenye matumizi makubwa zaidi ya pombe haramu, hali inayoleta hatari kubwa kwa afya ya umma, wataalamu wameonya. Haya yalibainishwa leo katika mkutano uliowakutanisha wadau kutoka Serikalini na Sekta Binafsi kujadili namna ya kukabiliana na tatizo hili linalotishia maisha na kudhoofisha ukusanyaji wa mapato kutoka sekta halali ya pombe….

Read More

Bodaboda auawa Arusha, mwili watundikwa mtini

Arusha. Hofu imezidi kutanda katika mtaa wa Olmokea iliyoko kata ya Sinoni baada ya leo tena mwili wa dereva bodaboda aliyefahamika Bosco Massawe ‘Rasta’(43) kukutwa umetundikwa juu ya mti mita chache kutoka nyumba aliyopanga, huku ukiwa na majeraha makubwa. Mwili wa Bosco umekutwa katika hali hiyo, ikiwa imepita siku mbili tangu mwili wa mtoto Mishel…

Read More

Russia yaongeza ufadhili wa masomo kwa Watanzania

Dar es Salaam. Urusi imesema inaendelea kuongeza ushirikiano katika sekta ya biashara na elimu ili kuchochea fursa za kiuchumi na kielimu kwa Watanzania katika mkakati wake wa kuimarisha urafiki na ushirikiano wa kidiplomasia na Tanzania. Hayo yamesemwa na Balozi wa Russia nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, leo Jumatano Julai 30, 2025, alipozungumza katika hafla ya uzinduzi…

Read More