Williamu atamba kushika nafasi ya kwanza

Wakati mchuano mkali wa ufungaji ukiendelea katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (BDL) kwa upande wachezaji wazawa,  Isaya Williamu wa DB Oratory ndiye mchezaji pekee  anayechuana vikali na wa kigeni. Mchezaji huyo anayecheza nafasi ya namba 2 ‘Shooting Guard’ anashika nafasi ya pili  kwa kufunga pointi 201,  huku ya kwanza ikishikwa na Mkongo Ntibonela…

Read More

Jaji agoma kujitoa kusikiliza rufaa ya mirathi

Arusha. Jaji Gabriel Malata wa Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba, anayesikiliza rufaa ya mirathi iliyokatwa na Angela Mathayo, ametupilia mbali maombi  ya kutaka ajitoe kusikiliza rufaa hiyo kwa kile alichodai hayana mashiko kisheria. Katika maombi hayo ndani ya rufaa, yaliyowasilishwa Machi 12, 2025 na wakili wa Anjela ambaye aliieleza mahakama hiyo kuwa alipokea maelezo kutoka…

Read More

Mapigano yalipuka tena DRC Congo

DRC.  Siku mbili tu baada ya kutiwa saini kwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na waasi wa AFC/M23 jijini Doha, Qatar, mapigano mapya yameripotiwa kuzuka tena katika eneo la Kivu Kusini, hali inayozua maswali kuhusu uimara na uhalisia wa makubaliano hayo mapya. Kwa mujibu wa mashuhuda…

Read More

Stanbic yatajwa benki bora kwa uwekezaji

Dar es Salaam. Ufanisi katika utendaji ni miongoni mwa sifa zinazotajwa kuipa benki ya Stanbic Tanzania tuzo ya Benki Bora ya Uwekezaji iliyotolewa na taasisi ya Euromoney kwa mwaka 2025. Tuzo hiyo ambayo inatambua nafasi wa benki katika kutoa suluhisho za kimkakati hasa kwenye sekta ya uwekezaji zinazounga mkono maendeleo ya taifa, kukuza viwanda vya…

Read More

Usipojipanga BDL utapigwa mapema | Mwanaspoti

LIGI ya kikapu Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), inazidi kuwa tamu na huku ukizubaa tu unapigwa mapema. Baadhi ya timu zimejikuta haziamini kilichowakuta ikiwa ni mzunguko wa 10 umeanza na zilipoteza michezo yao katika ligi hii inayokua kwa kasi. DB Lioness  ilifungwa na Polisi Stars kwa pointi 58-55, Vijana Queens ikafungwa DB Troncatti pointi…

Read More

Mke anusurika kifo kwa kujifanya mfu Musoma

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani  Mara linamshikilia Jumanne Kibagi mkazi wa kijiji cha Nyarufu wilayani Bunda kwa tuhuma za kumuua mama mkwe wake sambamba na kumjeruhi mke wake kwa kuwakata na panga. Kibagi anatuhumiwa kumuua mama mkwe wake Kabula Masanja (50) mkazi wa Kijiji cha Chumwi wilayani Musoma na kumjeruhi mke wake Nyageta Alex (21)….

Read More