NGO YAWAWEZESHA WAKULIMA KUPITIA UJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Blog WAKULIMA katika wilaya za Kondoa na Chemba wanaendelea kupewa mafunzo ya stadi na ujuzi wa ujasiriamali kwa lengo la kuwawezesha kuwa na vyanzo mbalimbali vya kipato badala ya kutegemea kilimo pekee. Hatua hiyo inalenga pia kuhakikisha kuwa wakulima wanaongeza thamani kwenye mazao yao ya kilimo kama vile alizeti, karanga na…

Read More

Mke anusurika kifo kwa kujifanya mfu

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani  Mara linamshikilia Jumanne Kibagi mkazi wa kijiji cha Nyarufu wilayani Bunda kwa tuhuma za kumuua mama mkwe wake sambamba na kumjeruhi mke wake kwa kuwakata na panga. Kibagi anatuhumiwa kumuua mama mkwe wake Kabula Masanja (50) mkazi wa Kijiji cha Chumwi wilayani Musoma na kumjeruhi mke wake Nyageta Alex (21)….

Read More

Mke anusurika kifo kwa kujifanya mfu

Musoma. Jeshi la Polisi mkoani  Mara linamshikilia Jumanne Kibagi mkazi wa kijiji cha Nyarufu wilayani Bunda kwa tuhuma za kumuua mama mkwe wake sambamba na kumjeruhi mke wake kwa kuwakata na panga. Kibagi anatuhumiwa kumuua mama mkwe wake Kabula Masanja (50) mkazi wa Kijiji cha Chumwi wilayani Musoma na kumjeruhi mke wake Nyageta Alex (21)….

Read More

Wanawake wa Gaza wanazungumza juu ya nyumba, hasara na watoto wenye njaa – maswala ya ulimwengu

Katika Jiji la Gaza, familia zinazoishi katika hema zinaonyesha ukweli wa pamoja. Wengi wamelazimishwa kukimbia mara kadhaa ya mapigano. Wengi hujikuta hawana makazi na njaa wakati wanakabiliwa na siku zijazo zisizo na shaka. Habari za UN Khadija Manoun na binti yake katika nafasi anayotumia kama jikoni ndani ya jengo lililoharibiwa. Khadija Manoun: Jiko la mabaki…

Read More

Mudathir aongeza salio Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More

Mudathir amaliza utata, atakuwepo Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More