Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 72
Habari

Mizigo inavyoibwa kwenye malori | Mwananchi

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ni saa saba usiku wa kuamkia Juni 23, 2025 pembezoni mwa Barabara ya Morogoro, eneo la Kwa Mfipa kuelekea Mwendapole hadi Tanita,

Read More
Habari

Hatari vifungashio vyenye taarifa za watu vikisambaa

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam.  Umewahi kukutana na kifungashio kilichotengenezwa kwa karatasi zenye taarifa binafsi za mtu? Kama hujawahi kukutana na hili basi karibu Dar es Salaam

Read More
Habari

Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa– 2

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Askari saba wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara walishtakiwa kwa kumuua makusudi, Mussa Hamis, mfanyabiashara wa madini, mazao ya biashara na

Read More
Habari

Wanawake wahamasishwa ushiriki utunzaji mazingira

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Taasisi ya The Climate Hub imesema ushiriki wa wanawake na vijana katika usimamizi wa mazingira unakabiliwa na changamoto kubwa, huku ikisema hali

Read More
Michezo

Dante aaga KMC akicha maswali aendako

July 1, 2025 Admin

BEKI wa kati wa zamani wa Yanga, Vincent Andrew ‘Dante’ ametangaza kuachana na KMC yenye maskani yake Kinondoni baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka

Read More
Habari

Mwelekeo hali ya hewa kwa siku 10 zijazo nchini

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetaja kanda nane nchini zitakazopitia hali ya ukavu na vipindi vya mvua kwa kipindi cha

Read More
Habari

NMB yatajwa kinara ithibati usawa wa kijinsia Afrika

July 1, 2025 Admin

Kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka minne, Benki ya NMB imetunukiwa Cheti cha Ithibati ya kutambuliwa kuwa Kinara Katika Mgawanyo wa Kiuchumi Kwenye

Read More
Michezo

Morice mikononi mwa mabosi wa Simba

July 1, 2025 Admin

KLABU ya Simba imetoa mapumziko kwa wachezaji wake, lakini kabla ya kurejea na kuanza maandalizi ya msimu mpya, jambo moja kubwa linaendelea chini kwa chini

Read More
Habari

Walichozungumza Dk Mpango, Ho Duc Phoc wa Vietnam

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Ho Duc Phoc, yaliyofanyika

Read More
Habari

Polisi asimulia alivyopigwa na waandamanaji

July 1, 2025 Admin

Kenya. Askari Polisi wa kike aliyeonekana kwenye kipande cha video akipigwa na waandamanaji Jumatano ya Juni 25, 2025 nchini Kenya amesimulia namna alivyokumbana na kipigo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 71 72 73 … 77 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.