Mudathir amaliza utata, atakuwepo Jangwani hadi 2027

Hatimaye kiungo Mzanzibar, Mudathir Yahya Abbas amemaliza utata wa wapi atacheza msimu ujao wa 2025-2026. Kwa taarifa rasmi ni kwamba, Mudathir ataendelea kuwa kwenye kikosi cha Wananchi hadi mwaka 2027. Hiyo ni baada ya kiungo huyo kuongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kusali katika kikosi hicho cha Yanga baada ya ule kumalizika mwisho wa msimu…

Read More

Helabet: Kampuni bora ya ubashiri Tanzania

Kuna kampuni nyingi za ubashiri ambazo zinatoa huduma Tanznaia, lakini ni kampuni moja pkee ambayo inaaminika kwa asilimia 100. Hii ndiyo maana Helabet inaamini kuwa ni Helabet ina leseni kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania Helabet ni kampuni inayofanya kazi kisheria Tanzania na imesajiliwa na kupewa leseni na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania…

Read More

Mahakama kutoa mwelekeo kesi ya waumini wa Gwajima leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma leo Juni 22, 2025 itatoa mwelekeo kuhusiana na usikilizwaji shauri la maombi ya Kikatiba, lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, dhidi ya Serikali. ‎Shauri hilo la maombi mchanganyiko limefunguliwa na Dinali Mbaga na wenzake 51 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa…

Read More

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI BELARUS

– Kukutana na Waziri Mkuu Alexander Turchin Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Julai 21, 2025 amewasili nchini Belarus kuanza ziara ya kikazi nchini humo. Kwenye Uwanja wa Ndege wa Kinsk alipokelewa na Naibu Waziri Mkuu wa Beralus, Viktor Karankevich. Katika ziara hiyo siku ya Kwanza Mheshimiwa Waziri Mkuu ataweka shada la maua katika mnara wa mashujaa…

Read More

Mtanzania Atelekezwa India, Aomba Msaada wa Matibabu – Video – Global Publishers

Halima Kaisi ni Mtanzania aliyejipata kwenye hali ngumu nchini India baada ya kushawishiwa na mwanaume aliyekuwa mpenzi wake kwamba angemtafutia kazi, lakini baadaye alimtelekeza na kumuacha apambane mwenyewe. Kwa sasa, Halima anaumwa na amedhoofika sana. Madaktari wamethibitisha kuwa ana matatizo ya figo, hali inayomlazimu kupata matibabu ya haraka. Anapitia kipindi kigumu, akiwa…

Read More

Wimbi la vifo vya wanafunzi vyuoni latisha

Dar es Salaam. Katika siku za hivi karibuni, matukio kadhaa ya wanafunzi kujinyonga yameripotiwa katika vyuo mbalimbali nchini. Mfano wa matukio hayo ni  lile la mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam, Emmaus Kajura, aliyeripotiwa kujiua Juni 25, 2025, huku Jeshi la Polisi likieleza kuwa linachunguza tukio hilo. Tukio…

Read More

Pande mbili za kufutwa kwa shahada za elimu ya ualimu

Tangazo la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) la tarehe 18 Julai 2025 likibainisha kuwa chuo hicho hakitapokea waombaji wa shahada tisa za elimu ya ualimu limebua hisia tofauti. Kwa mujibu wa tangazo hilo, kwa mwaka wa masomo wa 2025/26 chuo kicho hakitapokea maombi ya udahili kwenye shahada za Elimu ya Ualimu katika Sayansi, Saikolojia, Biashara,…

Read More

‘Mzee wa kupeana’ afunguka dili la Rivers

ALIYEKUWA kipa wa  Fountain Gate FC, John Noble amerudi rasmi kwenye Ligi Kuu ya Nigeria (NPFL) baada ya kujiunga na Rivers United kwa uhamisho huru baada ya kumalizika kwa mkataba wake. Noble, mwenye umri wa miaka 32, ni jina linalofahamika kwenye soka la Nigeria, hasa kwa mchango wake akiwa Enyimba FC mabingwa wa NPFL mara…

Read More