Nahimana aongeza mwaka Namungo | Mwanaspoti

MABOSI wa Namungo wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho na licha ya kuendelea kuzungumza na wachezaji wapya, wamemwongezea mkataba wa mwaka mmoja kipa Jonathan Nahimana raia wa Burundi. Kigogo mmoja wa Namungo aliliambia Mwanaspoti Nahimana alimaliza mkataba, lakini ripoti ya makocha walioondoka, Juma Mgunda na msaidizi wake, Shadrack Nsajigwa ilipendekeza kumbakiza kipa huyo ambaye msimu…

Read More

Kibwana amtaja Maxi Yanga | Mwanaspoti

BEKI wa pembeni wa Yanga, Kibwana Shomari amemtaja winga Maxi Nzengeli ni moja ya wachezaji wenye utimamu bora katika kikosi hicho na siyo rahisi kukabika. Licha ya kwamba wanacheza timu moja, lakini ni miongoni mwa wakezaji ambao wakikutana mazoezini sio rahisi kumkaba na anamkubali kutokana na kupenda kazi anayoifanya. “Unajua Yanga ni timu bora na…

Read More

Jarjou aandaliwa nyumba, gari Singida Black Stars

WINGA wa kimataifa raia wa Gambia na Senegal, Lamine Diadhiou Jarjou ameandaliwa nyumba ya kishua pamoja na gari binafsi na Singida BS mara baada ya kufikia makubaliano ya kujiunga nayo kwa mkataba wa miaka miwili. Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka katika klabu hiyo, mpango wa kumpatia Jarjou nyumba ya kishua na usafiri atakaokuwa…

Read More

Guterres analaani mauaji ya watu wanaotafuta chakula kama hali ya kibinadamu inazorota – maswala ya ulimwengu

Stéphane Dujarric alikuwa akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya UN huko New York siku moja baada ya Wapalestina kadhaa kuuawa wakitafuta misaada ya chakula. Alisema Katibu Mkuu aligundua ripoti zinazokua za watoto na watu wazima wanaougua utapiamlo na walilaani kwa nguvu vurugu zinazoendelea, pamoja na upigaji risasi, kuua na kujeruhi watu kujaribu…

Read More

Hamad Majimengi anukia Mbeya City

MABOSI wa Mbeya City wanasuka kikosi hicho kimyakimya kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao wa 2025-2026 na kwa sasa wako katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa aliyekuwa winga mshambuliaji wa Pamba Jiji, Hamad Majimengi. Nyota huyo aliyejiunga na Pamba kwa mkopo katika dirisha dogo la Januari 2025, akitokea Singida Black Stars, sio…

Read More

Offen Chikola ni Mwananchi | Mwanaspoti

YANGA kumtangaza kiungo mshambuliaji Offen Chikola aliyesaini miaka miwili ni suala la muda tu, kwani ipo  hatua ya mwisho kukamilisha vitu vilivyokuwa vimesalia. Yanga imemsajili Chikola akitokea Tabora United na ilizishinda Simba, Azam FC na Namungo ambazo zilikuwa zinawania saini yake, mchezaji huyo msimu uliyoisha alimaliza na mabao saba na asisti mbili. Chanzo cha ndani…

Read More

Aucho, Simba kuna jambo | Mwanaspoti

SIMBA ambayo imeshaondokewa na wachezaji tisa wakiwamo wanne wa kimataifa na watano wazawa walioiotumikia msimu uliopita, inaendelea kujitafuta kwa kujipanga kimyakimya kwa kusainisha nyota kadhaa inayosubiri kuwatangaza hivi karibuni. Simba iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu na kufika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ikipoteza kwa mabao 3-1 mbele ya RS Berkane ya Morocco,…

Read More