Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2025

  • Home
  • 2025
  • July
  • Page 73
Habari

Walichozungumza Dk Mpango, Ho Duc Phoc wa Vietnam

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu wa Vietnam, Ho Duc Phoc, yaliyofanyika

Read More
Habari

Polisi asimulia alivyopigwa na waandamanaji

July 1, 2025 Admin

Kenya. Askari Polisi wa kike aliyeonekana kwenye kipande cha video akipigwa na waandamanaji Jumatano ya Juni 25, 2025 nchini Kenya amesimulia namna alivyokumbana na kipigo

Read More
Michezo

Mbadala wa Sowah ageuka lulu sokoni

July 1, 2025 Admin

WAKATI mabosi wa Singida Black Stars wakimpigia hesabu mshambuliaji nyota wa Berekum Chelsea ya Ghana, Stephen Amankonah kwa ajili ya msimu ujao, wanatarajiwa kukutana na

Read More
Michezo

Tausi yawatia hofu vigogo | Mwanaspoti

July 1, 2025 Admin

Kama hujui Tausi Royals imewekwa mtu kati na timu tatu zinazoifuatia katika msimamo wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa wanawake

Read More
Michezo

City Bulls yageuka shamba la bibi

July 1, 2025 Admin

TIMU ya kikapu ya Vijana maarufu kama City Bulls imegeuka kuwa sehemu ambayo wachezaji wake wanachukuliwa bila na timu zingine hivyo kuwa sawa na akademi

Read More
Habari

Utaratibu mpya ukataji leseni usafirishaji watalii, kuleta ahueni

July 1, 2025 Admin

Unguja. Ili kupunguza gharama na kuondoa mianya ya udanganyifu katika huduma za ukodishaji wa magari ya watalii, Serikali kupitia Kamisheni ya Utalii Zanzibar imeboresha mfumo

Read More
Habari

Rais Samia amteua kigogo TIC kuwa bosi mpya TISEZA

July 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gilead Teri kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza). Teri

Read More
Kimataifa

Mateso ya ‘yasiyoweza kuhimili’ yanaendelea, afisa wa UN anaambia Baraza la Usalama – Maswala ya Ulimwenguni

July 1, 2025 Admin

Mabalozi wakuu katika Baraza la UsalamaKatibu Mkuu wa Khiari ya Mashariki ya Kati Khiari alisema zaidi ya Wapalestina 1,000 waliuawa tangu katikati ya Juni pekee,

Read More
Habari

TRA YATUMIA SABASABA KUTOA ELIMU YA KODI KWA MAENDELEO YA UCHUMI

July 1, 2025 Admin

:::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetumia Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kama jukwaa muhimu la kutoa elimu

Read More
Habari

BASHUNGWA ACHUKUA FOMU KUTETEA UBUNGE JIMBO LA KARAGWE.

July 1, 2025 Admin

::::::: Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Innocent L. Bashungwa amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea nafasi ya Ubunge katika Jimbo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 72 73 74 … 78 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.