RC BATILDA ATOA AGIZO KWA WAKANDARASI MRADI WA UBORESHAJI HUDUMA YA MAJI TANGA WA HATIFUNGANI YA KIJANI

Na Oscar Assenga,TANGA MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wakandarasi watakaohusika katika utekelezaji wa mradi wa hatifungani ya kijani kwa ajili kuboresha huduma ya maji katika Mkoa wa Tanga kuhakikisha wanautekeleza kwa ufanisi mkubwa na ukamilike kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma lengwa. RC Batilda aliyasema hayo leo wakati akipokea vifaa…

Read More

Canada wamwaga mabilioni miradi ya elimu

Dodoma. Serikali ya Canada imetangaza ufadhili kwenye miradi mitatu yenye thamani ya Sh90 bilioni (sawa na Dola za Marekani milioni 32), ikihusisha kuboresha lishe shuleni kwa wanafunzi 65,000 wa mikoa ya Lindi na Mtwara. Miradi mingine ni wa kuwanganisha vijana na fursa za kiuchumi unaojulikana kama mradi wa Bloom Afrika, kuwawezesha wanawake na wasichana waliopo…

Read More

Mambo yanayoathiri afya | Mwananchi

Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa, baadhi ya mambo unayofanya au usiyoyafanya kila siku, yanaweza kuzuia jitihada zako za kuwa na afya bora. Wakizungumza leo Jumatatu Julai 21, 2025 kwa nyakati tofauti wataalamu wa afya wamesema kutosamehe na kutosahau vinachangia magonjwa, changamoto za afya ya akili na matukio ya ukatili ikiwamo kuua na kujiua. Daktari bingwa…

Read More

Mama Makete afariki dunia, UWT wamlilia

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Kinondoni, Anna Makete,  maarufu ‘Mama Makete’ amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Hindu Mandali Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Mwananchi Katibu wa UWT Wilaya Kinondoni, Aziat Juma amesema kuwa taarifa za kifo chake walizipokea mchana wa leo Julai 21, 2025. “Tumepata pigo, alikuwa kiongozi…

Read More

RC CHALAMILA AKUTANA NA MEYA WA JIJI LA DALAS-MAREKANI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 21,2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Meya wa Jiji la Dallas nchini Marekani Mhe Eric Johnson akiwa ameambatana na ujumbe kutoka Jiji hilo ofisini kwake Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao mambo mbalimbali yamejadiliwa ikiwemo kukuza mahususiano ya kibiashara, uwekezaji,…

Read More

Umuhimu kujua maelezo ya vifungashio vya chakula

Dar es Salaam, Katika dunia ya kisasa, ambapo chakula cha viwandani na bidhaa zilizofungashwa zimeenea kwa kasi, umuhimu wa taarifa sahihi na kamili kwenye vifungashio vya chakula hauwezi kupuuzwa.  Mnunuzi wa leo anakabiliwa na aina nyingi za bidhaa, kila moja ikiwa na ladha, bei, na ahadi mbalimbali za kiafya. Katika mazingira haya, taarifa zilizo kwenye…

Read More