Madereva 11 wafungiwa leseni kwa ulevi Mwanza

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata na kuwafungia leseni za kuendesha magari madereva 11 kwa kipindi cha miezi mitatu kila mmoja, baada ya kubainika kuendesha vyombo vya moto wakiwa wamelewa, kusababisha ajali na kuharibu miundombinu ya barabara. Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumatatu, Julai 21, 2025 jijini Mwanza, Kamanda wa Polisi jijini…

Read More

Wanaohujumu miundombinu ya majitaka Dar waonywa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imewataka wananchi kuacha kutupa taka ngumu kwenye miundombinu ya majitaka na kuwa wa kwanza kutoa taarifa kwa anayeihujumu. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Julai 21, 2025 na Mbaraka Mpala kutoka Dawasa, baada ya kushuhudia maboresho ya miundombinu ya majitaka katika mtaa wa…

Read More

ASKARI WAWILI WASHIKILIWA KWA MAUAJI YA DEREVA BODABODA

…………..,….. Na Ester Maile Dodoma  Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia Askari polisi wawili  kwa kumjeruhi na kusababisha kifo Cha frank Sanga Mtias mwenye umri wa Miaka 32 ambaye ni  mkulima mkazi wa Mkomwa ,Mtaa wa Kusenha Matumbulu jijini Dodoma . Hayo ameyasema Kamanda wa jeshi la polisi  Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa…

Read More

Watumishi wawili TRA Mwanza, wafariki ajalini Geita

Geita. Watumishi wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), mkoani Mwanza wamepoteza maisha baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka boda ya Mtukula iliyopo mkoani Kagera kwenda Mwanza, kuacha njia na kupinduka katika eneo la Bwawani Mji mdogo wa Katoro wilayani Geita. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na…

Read More

Udiwani viti maalumu, 10 watetea nafasi zao Same

Same. Uchaguzi wa madiwani wa viti maalumu ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Same umekamilika huku madiwani 10 wakifanikiwa kutetea nafasi zao. Katika uchaguzi huo ambao ulisimamiwa  na Hilary kipingi na Amos  kusakula, zilikuwa tarafa sita ambapo katika kila tarafa wanapaswa kutoka madiwani wawili wa viti maalumu. Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na…

Read More

Mradi Tanzania ya Kidijitali wafikia asilimia 90

Dar es Salaam. Utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya kidigitali unaogharimu zaidi ya Sh387.6 bilioni umefikia zaidi ya asilimia 90, huku upatikanaji wa huduma za baadhi ya taasisi mitandaoni ukitajwa kuwa moja ya faida. Mradi huo wa miaka mitano, ambao Benki ya Dunia imetoa fedha, unatarajiwa kufikia tamati Oktoba 2026, ukiwa unasimamiwa na Wizara ya…

Read More

Baadhi ya vigogo waanguka udiwani Manyara

Babati. Waliokuwa madiwani wa viti maalumu baraza lililopita, katika halmashauri ya mji wa Babati na Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wameshindwa kutetea nafasi zao. Katika uchaguzi wa madiwani viti maalumu mjini Babati uliofanyika jana Julai 20, 2025 na kusimamiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana (UVCCM) mkoa wa Manyara, Inyasi Amsi umekamilika huku…

Read More

Ndege ya jeshi yaanguka shuleni yaua wanafunzi 16

Bangladesh. Watu 19 wamefariki dunia nchini Bangladesh baada ya ndege ya jeshi kamandi ya anga kuanguka katika eneo la Shule na chuo cha Milestone jijini Dhaka, leo Jumatatu Julai 21, 2025. Ndege hiyo ya mafunzo ya kijeshi kwa mujibu wa Al Jazeera imeanguka saa saba mchana wa leo wakati wanafunzi wa shule hiyo iliyopo mtaa…

Read More

RC BATILDA BURIAN ATOA AGIZO KWA WAKANDARASI MRADI WA UBORESHAJI HUDUMA ZA MAJI KUPITIA HATIFUNGANI YA KIJANI

Na Oscar Assenga,TANGA MKUU wa Mkoa wa Tanga Balozi,Dkt Batilda Burian amewataka wakandarasi watakaohusika katika utekelezaji wa mradi wa hatifungani ya kijani kwa ajili kuboresha huduma ya maji katika Mkoa wa Tanga kuhakikisha wanautekeleza kwa ufanisi mkubwa na ukamilike kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma lengwa. RC Batilda aliyasema hayo leo wakati akipokea vifaa…

Read More