Gibril Sillah aipiga chenga Yanga

LICHA ya kuhusishwa kukaribia kujiunga na Yanga, aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah ameitosa ofa ya timu hiyo na kwa sasa inadaiwa amemalizana na matajiri wa Algeria, ES Setif FC na kusaini mkataba wa miaka miwili. Nyota huyo aliyehusika na mabao 13, ya Ligi Kuu msimu wa 2024-2025 akiwa na Azam, baada ya…

Read More

Kocha mpya Yanga aleta straika mwingine

KABLA hata hajatambulishwa wala kugusa uwanja wa mazoezi, kocha mpya wa Yanga, Romain Folz ametoa maagizo mazito ya kutaka asajiliwe straika mmoja wa mabao. Kocha Folz ndiye anayetajwa kuwa mrithi wa Miloud Hamdi aliyetimkia Ismailia ya Misri na kilichobaki ni kutangazwa tu. Hata hivyo, wakati anajiandaa kitangazwa ikielezwa tayari ameshasaini mkataba, kocha huyo amewaambia mabosi…

Read More

Ugaidi na machafuko kwa watu wa Gaza sasa wanaingia katika ‘awamu ya kifo’ – maswala ya ulimwengu

Katika tahadhari, Wakala wa UN kwa Wakimbizi wa Palestina, Unrwawalirudia ushuhuda wa kukata tamaa kutoka kwa wenzake ambao pia wanajitahidi kuishi katika eneo lililokumbwa na vita. “Tuko katika hatua ya kifo,” mfanyikazi mmoja wa UNRWA alisema. “Kila kitu karibu na watu kwa sasa ni kifo, iwe ni mabomu au mgomo, watoto wanapotea Mbele ya macho…

Read More