Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa amri kwa Serikali kuhakikisha inatoa uamuzi haraka katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu
Month: July 2025

Dar es Salaam. Kutambua hatua za haraka ili kutibu tatizo linalokusumbua ni moja ya njia inayoweza kukusaidia kuwa salama. Lakini baadhi ya magonjwa kama msongo

MERIDIANBET imezindua ofa ya kipekee ili kuwapa wateja wao faida zaidi kwa kila miamala ya kila siku kupitia Halopesa. Kuanzia sasa, wateja wanaoweka pesa kwa

Ruvuma. Ugin Mkinga ni jina jipya lenye mvuto mkubwa katika anga ya siasa ya Tanzania, hasa kwa wale wanaofuatilia mustakabali wa maendeleo ya Jimbo la

Dar es Salaam. Wakati biashara ya usafirishaji ikiendelea kukua nchini, watu wanaendelea kubuni njia rahisi zitakazowawezesha kufanya shughuli zao kwa urahisi na kuwapunguzia gharama za

Inashughulikia kipindi Kuanzia 1 Desemba 2024 hadi 31 Mei 2025, wakati ambao raia 986 waliuawa na 4,807 walijeruhiwa – ongezeko la asilimia 37 ikilinganishwa na

Kenya. Watu 25 wamekamatwa nchini Kenya kutokana na vurugu zilizoibuka kwenye maandamano ya Juni 25, 2025 ya vijana maarufu Gen-Z yaliyofayika kwa lengo la kukumbuka

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za

KADA wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga Macrina Clemens (kulia ) akikabidhiwa fomu na Katibu wa UWT Mkoa wa Tanga Anastazia Aman Na

Dar es Salaam. Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na ya taa katika Bandari ya Dar es Salaam imeshuka ikilinganishwa na Juni 2025. Taarifa iliyotolewa