
RAIS WA ZANZIBAR, AMEFUNGUA KAMBI YA MATIBABU NA UCHUNGUZI WA AFYA YA KUMUENZI HAYATI ALI HASSAN MWINYI
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa Serikali, Familia na Wananchi katika kumuombea dua Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Ali Hassan Mwinyi, kabla ya kufunguwa Kambi ya Matibabu na Uchunguzi wa Afya, unaofanywa na Madaktari Bingwa kutoka Nchini Kenya, ikiwa ni…