Polisi wawili washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Dodoma

Dodoma. Mkazi wa Kitongoji cha Mgomwa, Kata ya Matumbulu jijini Dodoma, Frank Sanga (32), amefariki dunia akidaiwa kupigwa risasi na askari polisi waliokuwa doria, alipokuwa akimsaidia ndugu yake aliyekamatwa na askari hao kwa makosa ya usalama barabarani, asipelekwe kituoni. Tukio hilo linadaiwa kutokea Julai 19, 2025, saa 7:30 mchana, maeneo ya Matumbulu jijini Dodoma, ambapo…

Read More

VIJANA NI CHACHU YA MAENDELEO ENDELEVU WAKIWEZESHWA NA KUWAJIBISHWA KIMAZINGIRA- KIKWETE

Maneno haya yamezungumzwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayesimamia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Ndg. Ridhiwani Kikwete alipokuwa akihutubia mkutano wa Vijana Wa Dunia katika Mji wa Suzhou, China. Mkutano huo ambao ukutanisha vijana toka nchi mbalimbali duniani wakiwemo toka asasi za kiraia, mashirika ya kitaifa na kimataifa,na serikali mbalimbali ulibeba…

Read More

NBC Yakutana na Wateja Wake Wakubwa wa Jijini Arusha, Yajadili Fursa, Ufanisi wa Huduma Zake Kwa wateja.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka kampuni, wateja binafsi na taasisi mbali mbali (Corporates) wa jijini Arusha ili kujadili fursa za biashara, kutambulisha huduma mpya za benki hiyo sambamba na kuwaejengea uelewa zaidi wateja hao kuhusu faida na manufaa ya huduma hizo. Benki hiyo pia ilitumia fursa hiyo kujadili…

Read More

VIWANDA 1,542 VYAJENGWA GEITA

………,…. Na Ester Maile Dodoma  Mkoa wa Geita umefanikiwa kujenga jumla ya viwanda 1,542 katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu kutoka viwanda 824 vilivyokuwepo mwaka 2021 na kusaidia kuongeza ajira kutoka 927 hadi ajira 15,161 mwaka 2025. Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin…

Read More

Marcio Maximo arejea Ligi Kuu Bara

UNAMKUMBUKA yule kocha aliyeiwezesha Tanzania kushiriki fainali za kwanza za CHAN 2009 zilizofanyikia Ivory Coast na aliyeifanya timu ya taifa, Taifa Stars kupendwa na mashabiki nchini kote kutokana na amshaamsha zake? Basi kama hujui, kocha huyo Marcio Maximo anarejea tena nchini kwa mara…

Read More