Viti maalumu udiwani, sura mpya zaibuka Moshi Mjini

Moshi. Mchakato wa kura za maoni kwa nafasi ya madiwani wa viti maalumu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Moshi umekamilika, ambapo sura mpya zimeibuka huku mmoja wa waliokuwa wakishikilia nafasi hizo akipoteza nafasi kwa kushika nafasi ya nane. Uchaguzi huo umefanyika katika Ukumbi wa YMCA Moshi Mjini chini ya usimamizi wa Alhabibi…

Read More

MWANDISHI ASHINDA KWA KISHINDO UDIWANI VITI MAALUMU

……….  Wanawake 10 Waibuka Washindi Viti Maalum vya Udiwani Na mwandishi wetu, Morogoro  MOROGORO. Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) umekamilisha zoezi la kihistoria la uchaguzi wa wawakilishi wa viti maalum vya udiwani katika wilaya zote nchini. Uchaguzi huu, uliofanyika jana, Julai 20, 2025 ni hatua muhimu ya kuimarisha ushiriki wa wanawake na makundi mengine katika…

Read More

Netanyahu hoi baada ya kula chakula kibovu

Tel Aviv. Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu imesema kiongozi huyo kwa sasa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika na uvimbe wa utumbo uliotokana na kula chakula kibovu. Kwa mujibu wa taarifa ya jana Jumapili Julai 20, 2025, Netanyahu alianza kujisikia mgonjwa juzi usiku ambapo alichunguzwa nyumbani kwake na Dk Alon Hershko, mkurugenzi wa…

Read More

Harambee Stars yachomoa Cecafa 4 Nations, tatu zikiendelea

Timu ya taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’, imejitoa katika mashindano maalum yaliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) ambayo yalitarajiwa kuanza hii leo kwenye Uwanja wa Black Rhino uliopo Karatu yakihususha timu nne. Taarifa hiyo imetolewa na Shirikisho la Kenya (KFK) iliyochapisha taarifa kwa umma kupitia ukurasa wake rasmi wa kijamii wa…

Read More

‘Kila la kheri, hatukudai’ maneno ya mwisho kwa Zimbwe Msimbazi

KITENDO kilichofanywa na aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kuwaaga wanachama na mashabiki wa timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka 11 kimeibua hisia za mashabiki hao na mastaa mbalimbali waliomtakia kila la kheri. Usiku wa kuamkia jana Tshabalala amewaaga wanasimba kuwa hatakuwa sehemu ya timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 11, ndipo walipoivamia akaunti yake…

Read More

Familia iliyotangaza dau Sh10 milioni mtoto akutwa amefariki dunia kisimani

Tabora. Mtoto Ramin Ahmed mwenye umri wa miaka 3, aliyekuwa anaishi na wazazi wake eneo la Malabi, Kata ya Mpela mkoani Tabora, amepatikana akiwa amefariki dunia katika Kisima kilichopo nyumba waliyokuwa wakiishi. Awali, familia ya mtoto huyo ilisambaza taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikitangaza kumzawadia Sh10 milioni yeyote mwenye taarifa alipo mtoto wao. Akizungumzia tukio…

Read More