Elimu ya kidijitali, hatua ya dharura kwa mazingira ya habari, mawasiliano Afrika

Mapinduzi ya kidijitali yamebadilisha jinsi taarifa zinavyotengenezwa, kusambazwa, na kutumiwa. Hata hivyo, yameibua changamoto kubwa kama vile upotoshaji wa taarifa, habari za uongo, na matamshi ya chuki changamoto zinazotishia si Afrika pekee bali dunia nzima. Katika Mkutano wa Baraza la Vyombo vya Habari Barani Afrika uliofanyika Julai 2025 mjini Arusha, Tanzania, wadau walikubaliana kuwa elimu…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Tusipoamka kama taifa na kuukabili uchawa, utatupeleka kusikojulikana

Ninaona dhahiri tumeanza kuendekeza tabia ya uchawa uliopitiliza ambao kwangu nimeupa jina la ‘uchawa promax’, lakini ukweli ni kuwa una athari kubwa kwa taifa letu na polepole unaondoa uwajibikaji, maadili na uhalisia wa mambo. Hii tabia ambayo inataka kuwa kama fani,tulizoea kuiona katika kundi dogo katika jamii yetu na ilikuwa ni aibu, sasa inavuka mipaka…

Read More

Watatoboa? | Mwananchi

Dar es Salaam. Watatoboa? Ndilo swali linaloibuka kuwahusu makada wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Humphrey Polepole na Askofu Josephat Gwajima, iwapo watavuka vikao viwili vya kitaifa vya chama hicho bila uamuzi wowote dhidi yao. Vikao hivyo ni Kamati Kuu (CC), inayotarajiwa kuketi Julai 26, na Halmashauri Kuu (NEC) ya dharura iliyoitishwa Julai 28,…

Read More

Mikopo asilimia 10 ilivyogeuka kete wagombea udiwani CCM

Mikoani. Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Jumapili, Julai 20, 2025, kimefungua rasmi pazia la upigaji kura kwa wagombea walioomba nafasi ya udiwani viti maalumu. Uchaguzi huo unafanyika katika mazingira ya uangalizi, huku taarifa zikieleza kuwa, baadhi ya wajumbe wanatumia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kama mbinu ya kuwashawishi wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu…

Read More

Netanyahu hoi baada ya kula chakula chenye sumu

Tel Aviv. Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu imesema kiongozi huyo kwa sasa anapatiwa matibabu baada ya kugundulika na uvimbe wa utumbo uliotokana na kula chakula chenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa ya jana Jumapili Julai 20, 2025, Netanyahu alianza kujisikia mgonjwa juzi usiku ambapo alichunguzwa nyumbani kwake na Dk Alon Hershko, mkurugenzi…

Read More

Kennedy aongezwa mtu Singida | Mwanaspoti

UONGOZI wa Singida Black Stars, umemwongezea nguvu nahodha wa klabu hiyo, Kennedy Juma baada ya kuwa kwenye hatua ya mwisho kukamilisha usajili wa Vedastus Msinde. Msinde alikuwa beki wa kati wa TMA inayoshiriki Championship na sasa ameitwa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachojiandaa na michuano ya CHAN mwaka huu. Chanzo cha…

Read More

CANADA YAIPA TANZANIA DOZI MIL 23 ZA VITAMINI A

::::::::: Na John Mapepele  Serikali ya Canada kupitia Shirika lake linaloshughulika na masuala ya lishe duniani la Nutrition International imetoa dozi milioni 23 za vitamini A yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3  kwa Serikali ya Tanzania ili kuokoa  maisha  kwa kuimarisha  kinga ya mwili dhidi ya maradhi kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa leo na Mjumbe…

Read More

Zubery Katwila awindwa Coastal Union

UONGOZI wa Coastal Union, umeanza mazungumzo ya kuipata saini ya aliyekuwa Kocha wa Bigman FC, Zubery Katwila kwa ajili ya kukiongoza kikosi hicho msimu ujao, akienda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Juma Mwambusi aliyeondoka. Mwambusi aliyezifundisha Mbeya City, Yanga na Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars, aliyejiunga rasmi na Coastal Oktoba 23, 2024,…

Read More

Hassan Kibailo mbioni kutua Pamba Jiji

Pamba Jiji inafanya mazungumzo ya kumrejesha aliyekuwa beki wa kulia wa kikosi hicho, Hassan Kibailo, baada ya nyota huyo kudaiwa hayupo tayari kuendelea kuichezea Namungo na anaangalia sehemu ya kupata changamoto nyingine mpya. Kibailo ni miongoni mwa nyota waliotokea mtaani na soka lake alilianzia huko katika timu ya Pasias Boys ‘Juma Kampong’ ya jijini Mwanza…

Read More

WAANDISHI WA HABARI WAPEWA MBINU KUKABILIANA NA HABARI ZA UCHOCHEZI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA 2025

KADIRI Tanzania inavyokaribia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na namna wanavyoripoti taarifa, hasa katika zama hizi za teknolojia ya akili bandia (AI), ambazo zimeongeza kasi ya kusambaa kwa taarifa za uongo, chuki na uchochezi mitandaoni. Katika warsha ya siku mbili iliyofanyika mwishoni mwa wiki (Julai 17, 18, 2025) iliyoandaliwa…

Read More