UWT waanza kuchaguana, Dodoma | Mwananchi

Dodoma. Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Kata 41 za Wilaya ya Dodoma wameishawasili katika Ukumbi wa Chuo Cha Mipango kwa ajili ya uchaguzi. Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) wanakutana kufanya uchaguzi huo leo Jumapili Julai 20, 2025 ambao unahusu madiwani wa viti maalumu. Jana Jumamosi Julai 19, 2025 CCM kilitangaza kuwa Julai…

Read More

Moto jengo la Tanesco ulivyodhibitiwa

Lindi. Jengo la Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco ) Mkoa wa Lindi limeungua moto leo huku chanzo chake bado hakijajulika. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilika kwa kazi ya kuzima moto huo, Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji ambaye pia ni Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Lindi, Joseph Mwasabeja amesema…

Read More

KURA ZA MAONI ZISITUGAWE – SAMINA

Wanawake wilayani Ubungo, wametakiwa kuungana mara baada ya kumalizika zoezi la uchaguzi wa ndani wa kura za maoni za udiwani viti maalum. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Uwt wilaya ya Ubungo, Samina Mashauri, wakati anafungua Mkutano Mkuu Maalum wa Uwt wilaya katika uchaguzi wa kura za maoni kwa madiwani wa viti maalum wa tarafa…

Read More

HUDUMA ZA AFYA ZAZIDI KUIMARIKA MKOANI ARUSHA

Na Janeth Raphael MichuziTv – Dodoma Serikali imeendelea kuboresha huduma za afya kwa kufanikiwa kupunguza vifo vya mama wajawazito na vifo vya mama na mtoto hali iliyochagizwa na kuanzishwa kwa Mfumo wa Rufaa wa M-Mama, uliosaidia wakinamama kujifungulia kwenye Vituo vya kutolea huduma za afya. Mkuu wa Mkoa wa Arusha Kenani Kihongosi akizungumza na Watanzania…

Read More

WASHINDI 2200 WA AWAMU YA KWANZA KAMPENI YA ‘’MIAMALA NI FURSA ’’ YA BANK OF AFRICA TANZANIA WAZAWADIWA

Na Mwandishi Wetu Michuzi Tv WATEJA 20 wa Bank of Africa Tanzania, wamefanikiwa kujinyakulia ushindi wa shilingi 50,000 kila mmoja wao kupitia kampeni ya kupata huduma za kibenki kwa njia ya kijidigitali inayojulikana kama “Miamala ni Fursa, iliyozinduliwa mwezi uliopita. Kampeni hii ya miezi mitatu iliyoanza Juni 4, 2025 imelenga kuhamasisha wateja wa benki kutumia…

Read More

Ulinzi wa taarifa binafsi wavaliwa njuga, Zanzibar

Unguja. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohammed amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua ya kuhakikisha taarifa binafsi zinalindwa na sheria inachukua mkondo wake pindi haki za watu zinapovunjwa. Dk Khalid ametoa kauli hiyo Julai 20, 2025 wakati wa mafunzo ya ulinzi wa taarifa binafsi kwa maofisa habari wa Serikali ya Mapinduzi…

Read More

Wazee walalama kutopewa kipaumbele kwenye huduma za kijamii

Unguja. Wazee na wastaafu visiwani Zanzibar wamesema wanakumbana na changamoto ya ucheleweshwaji wa huduma ikiwamo kwenye usafiri wa umma, hospitali na benki. Wamewasilisha malalamiko hayo kupitia Jumuiya ya Wastaafu na Wazee Zanzibar (Juwaza), leo Jumapili Julai 20, 2025 kwenye kongamano la siku ya kupinga udhalilishaji kwa wazee duniani lililofanyika Sebleni, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja….

Read More

Uwanja wa ndege Arusha kutoa huduma saa 24

Dodoma. Uwanja wa ndege wa jijini Arusha ulioko eneo la Kisongo, utaanza kutoa huduma za kuruka na kutua ndege saa 24, Desemba mwaka huu. Mbali na hilo, Sh5.93 bilioni zimetumika katika kuwalipa fidia wananchi 187 watakaopisha ujenzi wa Uwanja cha ndege Ziwa Manyara. Hayo yamesemwa leo Jumapili, Julai 20, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa…

Read More