Madaktari wataja kipimo sahihi kubaini, kuitibu PID

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na utitiri wa dawa za kutibu tatizo la maambukizi ya bakteria katika mfumo wa uzazi wa mwanamke ‘PID’ wataalamu wa afya nchini wametaja kipimo sahihi cha kubaini tatizo hilo na kulitibu, mchakato unaojumuisha kuotesha viini vya maradhi maabara. Wamesema bila kipimo hicho ni ngumu kuitibu, kwani asilimia 85 ya PID…

Read More

Mourice Sichone asalia Zambia | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Trident FC, Mourice Sichone amesema ataendelea kusalia kikosini hapo kumalizia mkataba wake wa miezi minane iliyobaki. Katika nusu msimu aliocheza, kinda huyo (17), ukiwa ni wa kwanza kwake kukitumikia kikosi hicho, alicheza mechi 18, akifunga mabao sita na kutoa asisti nane. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema alipata ofa kutoka timu mojawapo ya Ligi…

Read More

Nahdi afunika mbio za magari Mount Uluguru

DEREVA Waleed Nahdi ametoa onyo kwa  wapinzani wake, baada ya kushinda mbio fupi  za magari za Mount Uluguru Auto Sprint zilizochezwa mwishoni mwa juma, mjini Morogoro. Akiendesha gari aina ya Subaru Impreza N11, Nahdi aliibuka mshindi baada ya kuwashinda kasi madereva wote akitumia dakika 4:23:25. “Kwangu, mbio hizi ni maandalizi kwa ajili ya ubingwa wa…

Read More

CRDB yashinda tuzo tatu kimataifa

London / Dar es Salaam. Benki ya CRDB imeshinda tuzo tatu za kimataifa na kutajwa na jarida la kifedha la kimataifa la Euromoney kama Benki Bora Tanzania. Hafla ya utoaji wa tuzo hizo, iliyohudhuriwa na wabobezi wa huduma za kibenki zaidi ya 500, ilifanyika Julai 17, 2025, jijini London, Uingereza, na CRDB kuibuka kidedea katika…

Read More

CALTEX YAZINDUA BIDHAA MPYA YA HAVOLINE EZY 4T PLUS

::::: Imeelezwa kuwa Masuala ya usalama barabarani kwa waendesha pikipiki na bajaji yamepewa uzito mpya kufuatia uzinduzi wa kilainishi kipya cha Caltex Ezy 4T Plus, kilichozinduliwa rasmi wilayani Temeke, Dar es Salaam, huku Jeshi la Polisi likitumia fursa hiyo kutoa elimu kwa waendeshaji hao. Akizungumza wakati wa tukio hilo, Mkuu wa Usalama Barabarani Chang’ombe, Reverent…

Read More

Geita, Mwanza vita nzito Kanda ya Ziwa

MCHEZO wa kriketi umetinga Kanda ya Ziwa kwa kishindo na kushuhudia Kombaini ya Geita ikishinda kwa wiketi nane dhidi ya Mwanza Kombaini, mwishoni mwa juma. Michuano hiyo inayojulikana kama TCA  Inter-Academy League 2025 – Group 3 ilifanyika jijini Mwanza, Jumamosi na Mwanza Kombaini…

Read More

USHIRIKI WA WATUMISHI KATIKA MICHEZO NI CHACHU YA KUJENGA MSHIKAMANO NA KUBORESHA AFYA ZAO-MHANDISI HILLY

Na Oscar Assenga, TANGA USHIRIKI wa Watumishi katika michezo umetajwa kwamba ni njia nzuri ya kujenga amani na mshikamano ambao unaweza kuboresha afya zao na hivyo kuongeza ufanisi na tija mahala pa kazi. Hayo yalisemwa leo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watumia Huduma ya Maji nchini (ATAWAS) Mhandisi Geofrey Hilly wakati akifungua Fainali za Mashindano…

Read More