Japan yafungua milango ya mafunzo na ajira kwa Watanzania

Dar es Salaam. Zaidi ya Watanzania 500 wamenufaika na mafunzo ya ufundi na utawala nchini Japan kuanzia miaka ya 1980 mpaka sasa. Mafunzo hayo yametolewa kupitia Taasisi ya Japan iitwayo Association for Overseas Technical Cooperation and Sustainable Partnerships (AOTS), ambayo inafadhiliwa na Wizara ya Uchumi, Biashara na Viwanda ya Japan (Meti). AOTS ni taasisi yenye…

Read More

Baa, gesti mitaani zinavyovuruga maadili

Dar/Mikoani. Kwa muda mrefu, kumekuwapo mjadala kuhusu kuporomoka kwa maadili, hususan ya vijana nchini, hali inayochangiwa na kuwapo mwingiliano wa mambo katika mazingira ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia. Miongoni mwa hayo ni mabadiliko ya kijamii, ikiwamo mifumo ya malezi, ambayo wazazi wengi hivi sasa ni kama hawana muda wa kuwa karibu na watoto wao…

Read More

GGM Kili Challenge 2025 Yaaanza Kwa Ari Mpya Katika Mapambano Dhidi ya VVU/UKIMWI

Kampuni ya Madini ya Geita Gold Mine (GGML), imesema itaendelea kushirikiana na serikali kupitia Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS), pamoja na wadau wengine katika kuhakikisha malengo ya kitaifa dhidi ya mapambano ya HIV/AIDS ya kufikia sifuri tatu ambazo ni maambukizi mapya-0, vifo-0 na unyanyapaa-0, ifikapo mwaka 2030 yanafikiwa. Akizungumza katika hafla ya tukio…

Read More

Hawa wanambana Raheem KMC | Mwanaspoti

WIKI iliyopita, beki wa Kitanzania, Raheem Shomari alitambulishwa kwenye kikosi cha Ghazl El Mahalla ya Ligi Kuu ya Misri kwa mkataba wa miaka mitatu. Raheem anajiunga na timu hiyo ambayo aliwahi kuichezea Mtanzania mwenzake, Himid Mao, ambaye alicheza kwa kiwango kikubwa. Kwenye eneo la beki wa kushoto atakalocheza nyota huyo wa zamani wa KMC, kuna…

Read More

Elimu duni ya udereva, sababu ajali za bodaboda

Dar es Salaam. Kukosekana kwa maarifa stahiki kwa madereva wa bodaboda, ndiyo sababu iliyotajwa kuchochea makosa ya usalama barabarani kwa madereva wa vyombo hivyo na usafiri na hatimaye kusababisha ajali. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Chang’ombe wilayani Temeke, Reverent Nkyami amesema baadhi ya bodaboda wanajifunza mtaani siku mbili na kuingia barabarani, hatua iliyosababisha matukio…

Read More

Vurugu nchini Haiti, kuongezeka kwa ukosefu wa usalama katika DR Kongo, jopo la mtaalam juu ya vita vya nyuklia – maswala ya ulimwengu

Wahaiti waliotengwa wametawanywa kati ya maeneo 250 ya kuhamishwa kazi nchini kote, ambayo mengi ni rasmi. Zaidi ya ya tano ya tovuti hizi zinasimamiwa na mashirika ya kibinadamu, ikimaanisha kuwa wengi wanaishi katika hali mbaya. Mnamo Juni pekee, arifu zaidi ya 200 ziliripotiwa katika maeneo ya uhamishaji, zaidi ya asilimia 80 ambayo yalikuwa yanahusiana na…

Read More

Wenye ulemavu waongezeka elimu ya juu, Shivyawata yasema…

Dar es Salaam. Kuimarika kwa huduma jumuishi kwa wanafunzi wenye uhitaji maalumu kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la wanafunzi hao wanaofika elimu ya juu nchini. Hilo limeenda sambamba na uwekezaji uliofanywa katika maeneo mbalimbali, hali inayochochea kuondoa ugumu wa ujifunzaji na vikwazo vilivyokuwapo. Takwimu za Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) zinaonesha kuwa idadi ya…

Read More