Zungumza na mtoto kuhusu fedha

Kuzungumza na watoto kuhusu pesa ni hatua muhimu sana katika kuwasaidia kujenga uelewa wa matumizi bora ya fedha, kuhimiza tabia ya kuweka akiba, na kukuza uhuru wa kifedha kadri wanavyokua. Mazungumzo haya yanapaswa kufanyika mapema, kwa lugha rahisi, na kwa kuzingatia umri na kiwango cha uelewa wa mtoto. Hapa chini ni mwongozo unaoelezea hatua mbalimbali…

Read More

KAKOLA FC BINGWA MAHUSIANO SPORTS BONANZA YA BARRICK BULYANHULU

  Mkuu wa wilaya ya Kahama,Frank Nkinda akiongea kabla ya kukabidhiwa kombe kwa mshindi na zawadi kwa timu zilizoshiriki Mkuu wa wilaya ya Kahama,Frank Nkinda (katikati) akikabidhi zawadi kwa washindi Kakola FC Mwakilishi wa Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu Chrispin Ngwaji akiongea kabla ya kukabidhiwa zawadi Kakola FC *** TIMU ya Kakola FC, imetwaa ubingwa wa Mashindano…

Read More

Tabia nne za kukupa mafanikio maishani

Tunapofanya kitu chochote maishani,  hatuna budi kufahamu dhahiri namna au mbinu bora ya kufanya kitu hicho. Kwa kujua kufanya kitu hicho kiusahihi, ni wazi kwamba utafanikiwa na kwa kutojua kufanya kitu au jambo hilo,  basi ni wazi kwamba utashindwa. Yako mambo mengi sana maishani yana kanuni za kuyafanya, usipozijua kanuni hizo lazima ama ushindwe kuyafanya…

Read More

TUONGEE KIUME: Hii hapa zawadi bora unayoweza kumpa mjukuu wako

Dar es Salaam.Tuko baa tunajipoza, mwenzetu mmoja anaweka glasi mdomoni, anagida fundo mbili tattu, anashusha glasi mezani, anakaa kimya sekunde mbili tatu macho kwenye runinga inayoning’inia juu ikionyesha mechi ya ndondi ambayo wala hatuifuatilii. Kisha baada ya muda anatugeukia na kutuuliza; “Hivi, zawadi gani ya thamani zaidi uliyowahi kumpa mjukuu wako?” Wote tunamgeukia kumtazama tukimshangaa,…

Read More

Mume unautambua wajibu huu kwa mkeo mjamzito?

Dar es Salaam. Ujauzito ni safari ya kipekee na nyeti inayohitaji umakini na ushirikiano wa karibu kati ya wenza. Kwa muda mrefu, katika jamii nyingi, suala la kufuatilia afya ya ujauzito limeachwa kuwa jukumu la wanawake pekee. Hata hivyo, ushiriki wa mume katika mchakato huu ni jambo muhimu sana linaloleta manufaa makubwa kwa mama, mtoto,…

Read More

Mambo manne ya kuwekeza wanandoa

Mwanza. Kuwekeza pamoja katika ndoa ni njia bora ya kuhakikisha kuwa ustawi wa familia inalindwa. Wanandoa wanaposhirikiana katika mipango ya kifedha, wanajenga msingi madhubuti wa maisha yao na watoto wao. Makala haya yanaangazia  maeneo muhimu ambayo wanandoa wanaweza kuwekeza kwa faida ya familia: …

Read More

Wanandoa msijidhalilishe, kisa shida | Mwananchi

Dar es Salaam. Kuna kisa kimoja kilitokea huko Mombasa Kenya. Bwana mmoja alikuwa na mkewe pamoja na watoto. Huyu bwana alikuwa akitafuta riziki zake kwa kuongoza watalii kwenye pwani ya Mombasa. Siku moja, alimpata mzungu mwanaume aliyetokea kuzoeana naye. Huyu mzungu, kila akija, humwambia amtafutie wanawake wa kufanya nao ngono kwa malipo aliyoona manono kwake. Mara…

Read More

Wanadamu wanaripoti vifo zaidi, uhamishaji na kukata tamaa huko Gaza – maswala ya ulimwengu

“Kila siku huleta vifo vinavyoweza kuepukika, kuhamishwa na kukata tamaa,” wakala Alisema katika sasisho la kibinadamu. Siku ya Ijumaa, viongozi wa Israeli walitoa agizo lingine la uhamishaji, wakati huu kwa sehemu za Gaza Kaskazini. Ocha Imesema inaendelea kupokea ripoti zinazosumbua sana za watoto na watu wazima wanaokubaliwa hospitalini na rasilimali zisizo za kutosha kuwatibu. Mgogoro…

Read More

VIJANA NA WANAWAKE KUKUTANA MOROGORO KWA MDAHALO WA KIRAIA NA TEKNOLOJIA BUNIFU

Taasisi ya Youth Environmental Justice and Gender Equality (YOGE) kwa kushirikiana na Ona Stories wanatarajia kufanya Mdahalo wa Kitaifa kuhusu Ushiriki wa Kiraia kwa kutumia simulizi za Hadithi na Teknolojia Zinazochipukia ili kuhamasisha ushiriki wa wanawake na vijana katika nafasi za uongozi nchini Tanzania. Mdahalo huo unatarajiwa kufanyika Julai 22, 2025 mkoani Morogoro, utawakutanisha viongozi…

Read More