ONGEA NA ANTI BETTI: Hapa kuna ndoa au ananihadaa?

Nina uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu na tulipanga mwishoni mwa mwaka huu nikatoe barua kwao na taratibu nyingine ili mapema mwakani tufunge ndoa. Ila nimepata taarifa ana mume na hajawahi kuniambia, si taarifa tu bali hadi picha wakiwa wanafunga ndoa kanisani nimeonyeshwa, ninashindwa kumuuliza atasema ninasikiliza maneno ya watu na ninampenda nahofia kumkosa iwapo…

Read More

Ukweli wa limbwata kwenye ndoa

Dar es Salaam. “Nimeoa huu mwaka wa saba, lakini nashindwa kumzoea mke wangu, kiasi kwamba nahisi ni kiboko yangu. Nikiwa kazini ninapata shida naona muda hauendi natamani kurudi nyumbani mapema nikamuone kipenzi changu pia nina wivu naye sana. Naomba kujua hivi kweli duniani kuna limbwata? Nahisi nimewekewa, haya si mapenzi ni wazimu.’’ Huu ulikuwa ujumbe…

Read More

Mahubiri: Neema ya Mungu hutupa nguvu ya kushinda majaribu

Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo, leo tumepewa ujumbe unaosema Neema ya Mungu hutupa nguvu ya kushinda majaribu ya maisha. Katika dunia hii tunayoishi, kila mmoja wetu anakumbana na changamoto, vishawishi, na majaribu ya kila namna. Lakini ashukuriwe Mungu kwa sababu hakutuacha yatima; ametupa neema yake  neema ambayo siyo tu ya wokovu bali pia ya…

Read More

Chan yaingilia uchaguzi TFF | Mwanaspoti

UCHAGUZI Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) uliopangwa kufanyika Agosti 18 mwaka huu, huenda ukapigwa kalenda kutokana na uwepo wa michuano ya CHAN 2024. Tanzania ni nchi mwenyeji wa michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025 kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo tamati yake ni Agosti 30, 2025. Katika michuano hiyo, mechi ya…

Read More

Hapa kuna ndoa au ananihadaa?

Nina uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu na tulipanga mwishoni mwa mwaka huu nikatoe barua kwao na taratibu nyingine ili mapema mwakani tufunge ndoa. Ila nimepata taarifa ana mume na hajawahi kuniambia, si taarifa tu bali hadi picha wakiwa wanafunga ndoa kanisani nimeonyeshwa, ninashindwa kumuuliza atasema ninasikiliza maneno ya watu na ninampenda nahofia kumkosa iwapo…

Read More

JKU Academy yaisulubu Al Qaida Yamle Yamle Cup

MICHUANO ya Yamle Yamle Cup inayoendelea kuchezwa Uwanja wa Mao A na B kisiwani Unguja, ipo mzunguko wa pili ambapo imeshuhudiwa jana Ijumaa Julai 18, 2025, JKU Academy ikichomoza na ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Al Qaida ukiwa ni mchezo wa Kundi B. JKU Academy imepata ushindi huo wa pili mfululizo na kuongoza…

Read More

Kasi ujenzi Uwanja wa AFCON Arusha yamkosha Mwana FA

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma ameipongeza Kampuni ya CRCEG ya kutoka nchini China ambayo inajenga uwanja wa mpira wa miguu jijini Arusha utakaotumika kwa michuano ya AFCON 2027 kwa kuweza kujenga uwanja huo kwa kasi na viwango vya hali ya juu. Akizungunza mwishoni mwa wiki wakati wa halfa ya kumalizika kwa…

Read More