DILI MOJA LA KIBABE | Mwanaspoti

UHAMISHO wa Luis Diaz kwenda Bayern Munich utaibua mshikemshike kwenye klabu nyingi za Ligi Kuu England zitakapopigana vikumbo huko sokoni. Supastaa huyo wa kimataifa wa Colombia, 28, ameachana na Liverpool ili kwenda kukipiga Bayern Munich kwa dili la uhamisho wa Pauni 65.5 milioni. Kutokana na dili hilo la Diaz kwenda Ujerumani, Liverpool sasa itapambana kunasa…

Read More

Mpango aipa jukumu BoT kudhibiti mikopo umiza

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa maagizo saba kwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na Taasisi za Serikali, likiwemo la kudhibiti mikopo inayotolewa mitandaoni kinyume na taratibu huku ikingilia faragha za watu. Mikopo hiyo ambayo mara nyingi huwa ni migumu kulipika kutokana na riba kubwa na masharti magumu, imekuwa ikitajwa kuwa…

Read More

Mpina, Makamba wafunguka kukatwa CCM

Dar es Salaam. Mbunge wa Kisesa anayemaliza muda wake, Luhaga Mpina ametoa kauli baada ya uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kutopendekeza jina lake katika mbio za kuwania ubunge wa jimbo hilo. Wakati huohuo, Mbunge wa Bumbuli, January Makamba naye ameeleza kuhusu uamuzi huo, huku akigusia kile kinachodaiwa kuwa kuenguliwa…

Read More

Udanganyifu ujazaji fomu za afya tishio

Dar es Salaam. Wakati fomu za taarifa za afya kwa wafanyakazi na wanafunzi wanaojiunga na shule, vyuo au taasisi zikilenga kuhakikisha usalama wa kiafya na mazingira salama ya kujifunzia na kufanya kazi, imebainika baadhi ya zinazowasilishwa siyo sahihi. Sababu za kuwasilisha taarifa zisizo za kweli zinatajwa kuwa ni wananchi kuepuka mzunguko wa vipimo, gharama na…

Read More

Mama aliyemchoma mwanaye kwa petroli jela miaka saba

Geita. Mahakama ya Wilaya ya Geita imemuhukumu kifungo cha miaka saba jela, Devotha Nestory baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumshambulia mwanawe kwa kumchoma moto kwa kutumia mafuta ya petroli na kumsababishia ulemavu wa kudumu. Hukumu hiyo imetolewa leo Julai 30, 2025 na Hakimu Mwandamizi, Bruno Bongole baada ya kusikiliza ushahidi wa mashahidi 10…

Read More

UPANDE WA MASHTAKA KESI YA LISSU WATAKIWA KUELEZA HALI YA KESI

Karama Kenyunko, Michuzi TV UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, umepewa hadi Juni 13, 2025, kuhakikisha unamsomea mshtakiwa huyo maelezo ya mashahidi (committal proceedings), ili kesi hiyo iweze kupelekwa Mahakama Kuu kwa ajili ya kuanza kusikilizwa. Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu…

Read More