Chaumma yatoa fomu kwa wagombea ubunge Kilimanjaro

Moshi. Chama cha ukombozi wa umma (Chaumma), Mkoa wa Kilimanjaro kimezindua shughuli ya uchukuaji wa fomu wa nafasi za ubunge na madiwani katika mkoa huo, huku watiania katika majimbo saba kati ya tisa wakichukua fomu hizo za ubunge. Waliochukua fomu za  ubunge ni Gervas Mgonja, Jimbo la Same Magharibi, Grace Kiwelu (Vunjo),  Michael Kilawila (Moshi…

Read More

Simba yafuata kiungo Mali | Mwanaspoti

KATIKA kuimarisha eneo la kiungo, Simba imeanza harakati mapema za kulijenga eneo hilo ambalo tayari kuna nyota wanne wameshaondoka baada ya msimu wa 2024-2025 kumalizika. Katika hilo, klabu hiyo haijakubali unyonge, kwani mabosi wa Simba wako kwenye mazungumzo na Stade Malien ya Mali, ikimtaka Lassine Kouma. Kouma ambaye anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, Simba inapambana…

Read More

ZIMBWE ATOA THANK YOU SIMBA SC

ALIYEKUWA Nahodha Klabu ya Simba Mohammed Hussein ameachana na timu yake mara baada ya kuwaaga kupitia mitandao yake ya kijamii ambapo mkataba wake na wekundi wa msimbazi kufika tamati mwezi Juni mwaka huu. Zimbwe mpaka sasa yupo huru kutafuta changamoto katika timu yoyote ambayo watafikia makubaliano. Tetesi zinasemekana anahitajika na wanajangwani kwaajili ya kuwatumikia.

Read More

Tshabalala aaga rasmi Simba, Yanga yatajwa kumalizana naye

BEKI wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ sio tu kumaliza mkataba wake kikosini hapo, pia ameiaga rasmi akionyesha hataendelea na Wekundu hao, huku watani zao wa jadi, Yanga wakitajwa kumalizana naye. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, ameandika: “Takribani miaka 11 ya furaha, huzuni, shangwe, vifijo, nderemo na masikitiko ndani ya…

Read More

HATIMILIKI 15,597 ZA KIMILA ZATOLEWA MKOANI KIGOM

…………… Na Ester Maile Dodoma  Utoaji hatimiliki za ardhi katika mkoa wa Kigoma  umeongezeka kutoka 4,432 mwaka 2020 hadi 13,886 mwaka 2025, utoaji  hati miliki za kimila pia  umeongezeka kutoka 1370 hadi 15,597.  Hayo yamebainishwa na mkuu wa Mkoa huo IGP Mstaafu Balozi Saimon Nyakoro  Sirro hii leo 19 Julai 2025  jijini Dodoma, wakati wa …

Read More