Bodaboda waanzishiwa kampeni ya kuepuka ajali

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, limezindua kampeni ya kitaifa ijulikanayo kama “Chuma kwa Chuma Sio Poa”, yenye lengo la kuhamasisha usalama barabarani na kuhimiza waendesha bodaboda na bajaji kuzingatia sheria ili kupunguza ajali za barabarani nchini. Ajali za barabarani bado zinabaki kuwa changamoto kubwa,…

Read More

Mbunge aliyepata ajali wakati wa usaili wa watiania aruhusiwa

Dar es Salaam. Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Francis Ndulane, ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupata ajali iliyosababisha avunjike mguu wakati wa shughuli ya usaili wa wanachama waliotangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kupitia chama hicho. Ajali hiyo ilitokea Julai 5, baada ya Mbunge huyo kutumbukia kwenye shimo la gereji lililopo katika karakana ya Chuo…

Read More

Mwenge waikubali miradi yote 51 ya Manyara

Hanang. Mwenge wa uhuru mwaka 2025 umepitisha miradi yote 51, iliyokagua, kuzindua, kutembelea na kuweka jiwe la msingi kwenye mkoa wa Manyara, yenye thamani ya Sh71.3 bilioni. Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameyasema hayo leo jumamosi Julai 19 mwaka 2025 kwenye eneo la Sagara akimkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa mkoa wa Singida…

Read More

Mwenda ataja mambo matatu kuvuka lengo ukusanyaji mapato Zanzibar

Unguja. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yussuf Mwenda ametaja mambo matatu makuu yatakayotekelezwa ili kufanikisha lengo la kuongeza ukusanyaji wa mapato Zanzibar. Mwenda amesema kuwa Mamlaka hiyo itaweka mkazo katika kujenga ushirikiano mzuri na wafanyabiashara kwa kurahisisha mazingira ya kufanya biashara, kuimarisha huduma kwa wateja, pamoja na kuboresha mazingira ya kazi kwa…

Read More

Siri nyuma ya mchujo wa CCM kusogezwa

Dodoma/Dar. Mambo ni mengi na muda ni mfupi kwenye ulingo wa siasa za Tanzania kwa sasa. Ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) presha kwa makada waliotia nia kuwania uteuzi wa kugombea uwakilishi na ubunge imeendelea kupanda na kushuka. Julai 19, 2025 CCM imetangaza kuahirisha kikao cha uteuzi wa wagombea hao ikieleza watiania waliojitokeza ni wengi….

Read More

Mbunge aliyepata ajali wakati wa usahili wa watiania aruhusiwa

Dar es Salaam. Mbunge wa Kilwa Kaskazini (CCM), Francis Ndulane, ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupata ajali iliyosababisha avunjike mguu wakati wa shughuli ya usaili wa wanachama waliotangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kupitia chama hicho. Ajali hiyo ilitokea Julai 5, baada ya Mbunge huyo kutumbukia kwenye shimo la gereji lililopo katika karakana ya Chuo…

Read More

Maxime amalizana na Dodoma Jiji, Anicet anahesabu siku

RASMI Dodoma Jiji imemalizana na makocha wake walioisimamia timu hiyo msimu uliopita, ikiwakabidhi barua za kuhitimisha mikataba yao kwa makubaliano ya pande mbili akiwamo aliyekuwa kocha mkuu, Mecky Maxime. Dodoma Jiji imefikia uamuzi huo baada ya Maxime kuifundisha kwa msimu mmoja tu ikimaliza katika nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kocha…

Read More