Mfahamu mtoto anayetikisa kwa kubuni miji, asimulia alivyoanza

Kongwa. Ni kipaji, ubunifu na ndoto iliyochomoza katikati ya akili kubwa. Ndiyo, hakuna neno lingine unaloweza kulitumia unapokutana kwa mara ya kwanza au unapomwelezea mtoto Ridhiwani Asheri. Kwa wiki sasa mtoto huyu amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania baada ya kipande cha video yake kusambaa ikimuonyesha akiwa ametengeneza mji kwa kutumia miti, vipande…

Read More

Simba yamuuza Che Malone | Mwanaspoti

NI rasmi sasa Che Malone Fondoh hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba msimu ujao, hii ni baada uongozi wa timu hiyo kukamilisha biashara ya kumuuza kwa timu iliyotuma ofa ya kumuhitaji mwishoni mwa msimu uliomalizika. Che Malone, alitua Msimbazi misimu miwili iliyopita akitokea Coton Sport…

Read More

Sirro afunguka hali ya usalama Kigoma

Dodoma. Siku chache baada ya tukio la utekaji wa magari na uporaji kutokea Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi linaendesha operesheni mkoa mzima kuwabaini wahusika kisha kuwafikisha mahakamani. Tukio hilo lilitokea Julai 13, 2025 katika eneo la Kibaoni karibu na kambi ya wakimbizi ya…

Read More

Mhagama atishia kibarua cha Mkongomani Dodoma Jiji

KIPA wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka huenda asiwe tena sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao, baada ya ujio wa Castor Mhagama kutoka KenGold, huku ikielezwa kuwa ishu ya nidhamu inaweza pia kuchangia kuondolewa kikosini. Hivi karibuni, nyota huyo alisimamishwa katika timu hiyo kwa tuhuma za utovu wa nidhamu, ingawa taarifa ambazo…

Read More

Prisons yampigia hesabu Haule | Mwanaspoti

UONGOZI wa maafande wa Tanzania Prisons, unafikiria kumrejesha aliyekuwa kipa wa kikosi hicho, Benedict Haule, baada ya kutokuwa na nafasi ya kucheza mara kwa mara katika timu ya Singida Black Stars kutokana na ushindani mkubwa uliokuwapo. Haule aliyejiunga na Singida Black Stars Julai Mosi 2024, akitokea Tanzania Prisons aliyoichezea kwa mkopo kutokea Azam FC, anahitajika…

Read More

NBS WAJADILI KUBORESHA TAKWIMU NCHIN

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imekutana kujadili utekelezaji pamoja na kupitisha Mpango Kazi wa Awamu ya Pili ya Mradi Kabambe wa Kuboresha Takwimu nchini (Tanzania Statistical Master Plan-TSMPT II). Kikao hicho cha kujadili mradi wa TSMPT II kimefanyika jijini Dodoma jana chini ya mwenyekiti wake ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt…

Read More