ORYX ENERGIES YAZINDUA CHUMA KWA CHUMA SIO POA KUDHIBITI AJALI ZA BODA BODA,BAJAJI

:::::::: KAMPUNI ya Oryx Energies Tanzania Limited imezindua  rasmi kampeni ya kitaifa ya uhamasishaji wa usalama barabarani ijulikanayo kama “Chuma kwa Chuma Sio Poa”, yenye lengo la kuwahamasisha waendesha bodaboda na bajaji kuzingatia sheria za usalama barabarani ambayo imekwenda sambamba na kukabidhi vibanda vya kisasa kwa ajili ya kumpuzika askari wa wawapo barabarani wakitekeleza majukumu…

Read More

Kupunguzwa kwa misaada kuacha shirika la wakimbizi haliwezi kuweka makazi sita kati ya vita 10 vya kukimbia nchini Sudan – maswala ya ulimwengu

Ulimwenguni kote, $ 1.4 bilioni ya mipango ya shirika hilo inafungiwa au kuwekwa, UNHCR alisema katika ripoti mpya. “Hatuwezi kuacha maji, huwezi kuacha usafi wa mazingira, lakini tunalazimika kuchukua maamuzi linapokuja, kwa mfano, kukaa,” Alisema Mkurugenzi wa UNHCR wa Mahusiano ya nje, Dominique Hyde. “Tuna watu wanaofika kila siku kutoka Sudan, kutoka mikoa ya Darfur…

Read More

TCU: Hatutayumba kusimamia ubora wa elimu ya juu

Unguja. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesisitiza dhamira yake ya kusimamia elimu ya juu kwa ufanisi, ili kuhakikisha kuwa wahitimu wa vyuo vikuu nchini wanakuwa na viwango vya kimataifa na kukubalika duniani kote. Mwenyekiti wa Tume hiyo, Dk Leonard Akwilapo ametoa kauli hiyo leo Julai 19, 2025 katika maonesho ya sita ya elimu ya juu…

Read More

Wataalamu rasilimaliwatu kukutana Arusha | Mwananchi

Arusha. Jumuiya ya wataalamu zaidi ya 700 wa usimamizi wa rasilimali watu na utawala katika utumishi wa umma (TAPA-HR), wanatarajiwa kukutana jijini Arusha katika mkutano mkuu wa kwanza wa jumuiya hiyo.Mkutano huo utakaoanza Julai 22 hadi 25,2025 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), utafunguliwa na Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi…

Read More

WAGOMBEA CCM KUTANGAZWA JULAI 28

………….. Na Ester Maile Dodoma  Kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM inatarajia  kufanya kikao cha maamuzi ya uteuzi wa nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Ubunge, madiwani  na uwakilishi ambacho kitafanyika  Julai 28 mwaka huu. Katibu wa itikadi uenezi na Mafunzo wa chama hicho CPA Amos makala  ameyasema hayo leo jijini Dodoma wakati akizungumza na…

Read More

India kuwekeza kituo cha matibabu Zanzibar

Unguja. Wakati India ikiwa moja ya mataifa yaliyoendelea katika masula ya afya na teknolojia, kampuni kubwa kutoka nchini humo zimeonesha nia ya kuwekeza Zanzibar katika sekta za viwanda na tiba hususani katika ujenzi wa kituo maalumu cha kutoa matibabu ya kibingwa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kampuni zaidi ya 20 kutoka nchini humo kufika kisiwani…

Read More

Hawa ndio waliowalipua polisi kwa mabomu, moja liliharibiwa na JWTZ

Songea. Mahakama ya Rufani Tanzania, imebariki kifungo cha miaka 15 jela, walichohukumiwa wakazi watatu wa mjini Songea, waliowalipua askari wa Jeshi la Polisi kwa mabomu mawili yaliyotengenezwa nyumbani na kujeruhi polisi wanne. Bomu la tatu lilitegeshwa katika kibanda wanachokitumia Askari wa Usalama Trafiki na waya wake ukaenda meta kadhaa porini kulipokuwa na kilipuzi, lakini hata…

Read More

KESI YA ZAWADI YA ASKOFU: ‎Katibu wa Kanisa aikana katiba iliyomzawadia askofu shamba, nyumba

‎Dar es Salaam. Katibu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Mchungaji George Lawi ameikana katiba ya kanisa hilo ambayo ni kielelezo cha ushahidi katika kesi ya mgogoro wa zawadi ya shamba na nyumba alizopewa Askofu mkuu wa kwanza wa kanisa hilo nchini, John Sepeku. Mchungaji Lawi ameikana katiba hiyo wakati akitoa ushahidi wake katika kesi hiyo, inayosikilizwa…

Read More

Mradi wa uchimbaji urani kuongeza upatikanaji umeme

Songea. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema mradi wa kimkakati wa uchimbaji urani utaanza hivi karibuni baada ya kukamilika ujenzi wa kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini hayo. Amesema hayo jana Julai 18, 2025 akiwa wilayani Namtumbo, mkoani Ruvuma alikotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo unaokadiriwa kugharimu Sh3.06 trilioni unaotekelezwa na Kampuni…

Read More

Kiswahili kutumika kusaidia uelewa masuala ya kisheria kati ya Tanzania, China

Lugha ya Kiswahili imetambuliwa rasmi kuwa chombo muhimu katika kukuza uelewa wa kisheria na kitamaduni kati ya Tanzania na China, kufuatia uzinduzi wa tafsiri ya kwanza ya maandiko ya kisheria kutoka China kwenda Kiswahili. Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam kupitia kongamano lililowakutanisha wataalamu wa tafsiri, wachapishaji na wasomi kutoka mataifa hayo mawili. Viongozi…

Read More