Makaka yupo freshi, asikilizia simu tu!

BAADA ya kukosekana uwanjani msimu uliopita, kipa Mohamed Makaka amesema kwa sasa yupo tayari kukipiga popote, akieleza kuwa uwezo na uzoefu alionao timu yoyote namba ni uhakika. Makaka aliyewahi kukipiga timu kadhaa ikiwamo Stand United na Gwambina, msimu uliopita alijikuta nje ya uwanja baada ya kuumia goti alipokuwa akikiwasha Mtibwa Sugar aliyoshuka nayo daraja. Staa…

Read More

POLEPOLE’S RESIGNATION: A PERSONAL STRUGGLE, NOT A NATIONAL CRISIS.

Saturday, 19th July 2025   Polepole’s resignation and harsh criticism of the current administration show a classic case of status loss grief, and identity displacement, conditions observed psychologically when individuals once close to power lose influence. His actions show signs of narcissistic wounding, where the erosion of public relevance brings about defensive storylines, denial of…

Read More

Prisons yavunja benki kumrudisha Ahmad Ally

TANZANIA Prisons imeamua kuvunja benki kumpata kocha mkuu atakayeinoa timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao, huku ikisisitiza kuwa presha iliyokutana nayo, haitarajii ijitokeze tena kwa misimu ijayo, huku jina la kocha wa zamani wa timu hiyo, Ahmad Ally aliyekuwa JKT Tanzania akitajwa. Timu hiyo ambayo msimu uliopita ilinusurika kushuka daraja kupitia mechi za ‘playoffs’…

Read More

Coastal yashtuka, yasimamisha usajili | Mwanaspoti

WAKATI klabu nyingine zikiendelea kuchangamkia mchakato wa usajili, Coastal Union imeshtukia kitu, imeamua kwanza kuanza na msako wa kocha kabla ya kuanza kushusha mastaa wapya. Wagosi hao walimaliza msimu katika nafasi ya nane kwa kukusanya pointi 35, wakishinda mechi nane, sare 11 na kupoteza 11. Taarifa za ndani ya klabu hiyo zililiambia Mwanaspoti kuwa, bado…

Read More

Pogba wa Zenji, Simba mambo sio freshi

BAADA ya Simba kushindwa kukamilisha mchakato wa kumsajili kiungo wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’, mchezaji huyo yupo katika hatua za mwisho kumalizana na Tabora United. Simba ilionyesha nia ya kunasa saini ya kiungo huyo aliyecheza mechi zote 30 msimu huu akiwa na Mlandege iliyotwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na kufikia hatua ya kumtumia…

Read More

Singida, Manyama waachana freshi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Singida Black Stars umefikia makubaliano ya kuachana na kiraka, Edward Charles Manyama baada ya kuitumikia kwa msimu mmoja. Manyama alijiunga na Singida BS msimu uliomalizika kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Azam FC. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Singida Black Stars kimeliambia Mwanaspoti kuwa…

Read More

Mamia waliuawa katika vurugu zinazoendelea, hospitali zilizidiwa – maswala ya ulimwengu

Waandishi wa habari waandishi wa habari huko Geneva, Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN, Ohchrmsemaji Ravina Shamdasani alionyesha ripoti za “kuaminika” za “ukiukwaji mkubwa na unyanyasaji, pamoja na muhtasari wa mauaji na mauaji ya kiholela, utekaji nyara, uharibifu wa mali ya kibinafsi na uporaji wa nyumba” katika mji wa Sweida. “Miongoni mwa wahusika walioripotiwa…

Read More

Wadau waonyesha njia kukabili uhaba wa ajira kwa wahitimu

Dar es Salaam. Uwekezaji katika sekta zinazotengeneza ajira nyingi ni moja ya mapendekezo yaliyotolewa na wadau ili kuendana na ongezeko la wahitimu wa vyuo linaloshuhudiwa kila mwaka. Vilevile wanapendekeza mabadiliko ya mtalaa vyuoni yaende sambamba na kutumia walimu waliobobea katika maeneo husika ili kuepuka kuwakaririsha wanafunzi vitu kwa nadharia badala ya vitendo. Mapendekezo hayo yametolewa…

Read More