Bangi ilivyo fupa gumu Tanzania

Dar es Salaam. Ripoti ya Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya Duniani ya mwaka 2024 imeonyesha bangi bado inaongoza kutumika zaidi duniani, takribani watu milioni 228 waliitumia mwaka 2022. Idadi hiyo ni sawa na asilimia nne ya watu wote duniani, ikiwa ni ongezeko la asilimia 28 katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Kwa mujibu…

Read More

Jabir katikati ya Namungo, Mbeya City

MSHAMBULIAJI huru Anuary Jabir, imeziingiza vitani timu tatu kuwania saini yake kwa ajili ya msimu ujao ambazo ni Namungo, Dodoma Jiji na Mbeya City kati ya hizo itakayokuwa na ofa nono itafanikiwa kupata huduma yake. Jabir msimu uliyoisha alikuwa na Mtibwa Sugar iliyopanda daraja kucheza Ligi Kuu 2025/26, kiwango alichokionyesha kimezivutia timu hizo kuhitaji huduma…

Read More

Mzimbabwe anukia Yanga, Mbaga akiaga

ALIYEKUWA Kocha wa utimamu wa mwili wa Yanga Princess, Alli Mbaga ameaga rasmi kwenye kikosi hicho baada ya mkataba wake kumalizika na inaelezwa viongozi wa timu wameanza mazungumzo na Mzimbabwe Brenda Chaoor. Brenda, ambaye aliwahi kuzifundisha Simba Queens kabla ya kutimkia Fountain Gate Princess ambako alihudumu kwa msimu mmoja. Sasa inaelezwa kuwa anatajwa Jangwani na…

Read More

Najim Mussa kuibukia Pamba Jiji

KIUNGO mshambuliaji Najim Mussa aliyekuwa anaichezea Namungo kwa mkopo akitokea Singida Black Stars, anakaribia kujiunga na Pamba Jiji, baada ya nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza kuonekana finyu kwa msimu ujao. Staa huyo aliyejiunga na Namungo dirisha dogo la Januari 2025, amemaliza mkataba wake wa mkopo na timu hiyo na sasa mabosi wa Pamba wanampigia…

Read More

Hekaya za Mlevi: Watiania kunani huko mjengoni?

Dar es Salaam. Siku moja nilikwenda benki kuchukua mshiko. Nilikuwa katika hekaheka za kulipa madeni na kutimiza miradi yangu ya maendeleo. Nilidamka nikimwacha Bi. Mlevi kitandani, nikatinga mavazi ya mazoezi na kutoka.  Huyu mama ana mipango mingi sana, hivyo angeijua safari yangu angenijaza mapendekezo yake ambayo yangevuruga dira na sera zangu. Nikasema moyoni: “Aliyelala usimwamshe”….

Read More