Siku ya kulia, kucheka CCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeingia katika hatua ya mchujo wa mwisho wa majina ya watia nia ya kugombea ubunge, uwakilishi na udiwani, ambapo leo Jumamosi Julai 19, 2025, ndoto za baadhi ya wagombea zitafikia tamati huku wengine wakipiga hatua kuelekea kwenye kinyang’anyiro kikuu. Ni siku ya maamuzi, ambapo Kamati Kuu, inatarajiwa kuweka…

Read More

CCM yaahirisha vikao vya kitaifa, yaeleza sababu

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuahirisha vikao vyake vya kitaifa vilivyopaswa kufanyika tarehe 18 hadi 19 Julai 2025 kutokana na sababu za kiufundi. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumamosi, Julai 18, 2025, kufuatia barua ya awali iliyotumwa Julai 11, 2025, ikielekeza maandalizi ya vikao hivyo ambavyo vilihusisha Kamati ya Usalama na Maadili pamoja…

Read More

MUHARIRI TORCH MEDIA ANG’ARA TUZO ZA AFYA TMDA

:::::::: Mahariri Mkuu wa Mtandao wa Kijamii wa Torch Media, Caren-Tausi Mbowe ameibuka mshindi wa kwanza katika Tuzo za Uandishi wa Habari za Afya juu ya Udhibiti wa Bidhaa za Tiba zinazotolewa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA). Caren-Tausi ambaye kwa sasa ni Mhariri wa Mtandaoni katika Kampuni ya Sahara Media inayoendesha Televisioni…

Read More

Dawati huwa vitanda kama malazi ya shule ya Haiti watu waliohamishwa na vurugu – maswala ya ulimwengu

Madarasa katika Shule ya Anténor Firmin huko Hinche katikati mwa Haiti hayakuwa kimya tena. Mara tu mahali pa kujifunza, sasa inalingana na sauti za watoto wanaolia, vyombo vya maji vikigonga, na sauti zikinung’unika usiku. Zaidi ya watu 700 waliohamishwa na vurugu wamejaa ndani ya kiwanja kilichobomoka, kulala kwenye sakafu ambapo watoto walitatua shida za hesabu…

Read More

Iramba waishukuru Benki ya CRDB kujenga Kituo cha Afya Mukulu

Iramba: Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mheshimiwa Suleiman Mwenda ameishukuru Benki ya CRDB kwa kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Mukulu akisema kitasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wa Kata ya Mukulu na maeneo jirani. Kutokana na uhitaji kuongezeka kila siku, Mheshimiwa Mwenda amesema serikali inafanya jitihada kubwa kuboresha huduma za…

Read More

PAMBA HAI ISIYOTUMIA MBOLEA ZA KEMIKALI YAFIKA TAN 12,285

:::::::::: Na Ester Maile  Uzalishaji wa Pamba hai katika  Mkoa wa Simiyu umeongezeka kutoka Tani 10,300 mwaka 2021/2022 hadi Tani 12,285 mwaka 2022/2023, jambo lililopelekea Tanzania kuingia katika ramani ya uzalishaji duniani.  ameyasema hayo hii leo Julai 18, 2025 Jijini Dodoma, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anamringi Macha wakati akizungumza na Watanzania kupitia mkutano na…

Read More

Maafisa Ugani 50 wa BBT Korosho Wapewa Pikipiki – Hatua Mpya Katika Kuinua Kilimo cha Korosho Tunduru.

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Denis Masanja amesema,wilaya hiyo inakwenda kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi kupitia kilimo cha zao la korosho, baada ya Serikali kutoa pikipiki kwa maafisa ugani ili waweze kuwafikia wakulima kwa urahisi. Masanja,amesema  hayo wakati akikabidhi  jumla ya pikipiki 50 kwa maafisa ugani kilimo wa BBT Korosho wa wilaya hiyo…

Read More

Tunduru: Serikali Kuanza Operesheni Kuwaondoa Wafugaji Maeneo ya Kilimo

Tunduru-Ruvuma. Serikali  Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, imetangaza rasmi kuanza operesheni kabambe ya kuwaondoa wafugaji  wote waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo na uhifadhi,kama hatua ya kudhibiti migogoro inayotokea mara kwa mara kati yao na wakulima. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya  hiyo Denis Masanja, alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Cheleweni kata ya…

Read More

Kocha mpya Yanga anataka bao tano!

VIONGOZI wa Yanga wamepanga Jumapili hii kuanza msimu mpya kwa kutambulisha benchi jipya la ufundi kisha kutangaza mastaa waliopewa ‘thank you’ na kumalizia wapya waliosajiliwa kabla ya timu kuanza kambi. Lakini Kocha mpya anayetajwa kumalizana na timu hiyo, Romain Folz amezungumza kitu cha…

Read More