Wanafunzi wawili, bodaboda wafariki kwa ajili Morogoro

Morogoro. Wanafunzi wawili wa kidato cha nne shule ya sekondari Morogoro na dereva wa bodaboda waliyokuwa wamepanda wamefariki dunia papo hapo baada ya pikipiki yao kugongana uso kwa uso na lori la mizigo eneo la Kihonda bima barabara ya Morogoro -Dodoma. Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, Alex Mkama amewataja wanafunzi waliofariki…

Read More

Madereva 42 wakiwepo wa masafa marefu wamefungiwa leseni

Mbeya. Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani mkoani Mbeya limezifungia leseni 42 za madereva, wakiwemo madereva wa masafa marefu, baada ya kubainika kukiuka sheria na kanuni za usalama barabarani kwa kuendesha kwa mwendo hatarishi. Hatua hiyo imechukuliwa kama sehemu ya mkakati wa kupambana na ajali za mara kwa mara, kwa kutumia mfumo wa…

Read More

Dar es Salaam yanadi viwanja 88 vilivyotengwa kwa uwekezaji

Dar es Salaam. Mkoa wa Dar es Salaam umeweka wazi maeneo 88 yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji na uendelezaji wa shughuli mbalimbali za kiuchumi huku ikiwaita wawekezaji kuchangamkia fursa. Maeneo hayo yanapatikana katika wilaya ya Ilala, Temeke, Kigamboni, Ubungo na Kinondoni huku kila wilaya ikijinadi aina ya uwekezaji unaohitajika na ukubwa wa eneo husika. Maeneo…

Read More

Kiwanda cha chaki Maswa chaanza majaribio ya uzalishaji

Dodoma. Kiwanda cha kimkakati cha kutengeneza chaki kimeanza majaribio ya uzalishaji ambapo katoni za chaki 11,884 zenye thamani ya Sh19.4 milioni zimezalishwa na kuuzwa ndani na nje ya nchi. Kiwanda hicho kimejengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu kwa gharama ya Sh8.09 bilioni. Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anamringi Macha amebainisha hayo leo…

Read More

Tanzania kuwa na mashirika ya umma yenye ushindani ifikapo 2050

Dar es Salaam. Ifikapo mwaka 2050, Tanzania inajiona kuwa na Mashirika ya umma ya kibiashara yanayoendeshwa kwa uwazi na ushindani, yanayojitegemea na yenye kuleta faida na yanayovutia uwekezaji huku yakishirikiana kikamilifu na sekta binafsi ili kukuza uchumi. Dhamira hii imeainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Dk Samia Suluhu Hassan, Alhamis, Julai…

Read More