
Wachumi wataja mbinu utekelezaji Dira 2025
Dar es Salaam. Wataalamu wa uchumi nchini wametoa maoni wakipendekeza namna ya kuwezesha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ili kuhakikisha Taifa linatimiza malengo yaliyokusudiwa katika ukuaji uchumi. Dira ya Taifa 2050 iliyozinduliwa jana Alhamisi Julai 17, 2025 na Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dodoma imeweka malengo ya ukuzaji wa pato la…