
BEI YA PETROLI AGOSTI 2025 MSEREREKO
::::: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano Agosti 6, 2025, zikionesha kupungua kwa bei ya petroli kwa shilingi 34 kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia. Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt…