Uganda yaingia anga zile zile za Ivory Coast

KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopewa Uganda The Cranes kutoka kwa Algeria katika mechi ya kwanza ya Fainali za CHAN 2024 jana usiku imeifanya timu hiyo kuingia anga za Ivory Coast. Ivory Coast ikiwa wenyeji wa fainali za kwanza za CHAN 2009 ilikumbana na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Zambia yaliyofungwa na Given Singuluma akiwa…

Read More

MCHENGERWA ASHINDA KWA ASILIMIA 99.19 RUFIJI

Na Ally Issa. Mgombea wa jimbo la Rufiji anayetetea jimbo lake Mohamed Mchengerwa ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kura za maoni kwa kuzoa asilimia 99.19 ya kura zote zilizopigwa. Akitangaza matokeo hayo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa jimbo hilo Prudence Sempa. amesema Mchengerwa amepata kura 8, 465 kati ya kura 8 , 533 zilizopigwa sawa na…

Read More

WASTAAFU WANAOLIPWA NA HAZINA WAASWA KUEPUKA MATAPELI

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Wizara ya Fedha imeawaasa wastaafu wanaolipwa mafao na Hazina kujiepusha na jumbe kwa njia ya simu zinazotumwa na watu wasiojulikana zikiwaelekeza kutuma fedha ili kuhakikiwa kwani wanaweza kutapeliwa fedha zao na matapeli hao. Akizungumza wakati akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Fedha kwenye Maonesho ya Nanenane Kitaifa…

Read More

COPRA YATAKIWA KUIMARISHA UDHIBITI WA MAZAO YA VIUNGO

Farida Mangube, Morogoro Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) wametakiwa kuongeza kasi ya kusimamia na kudhibiti uuzwaji holela wa mazao ya viungo, ili kuwawezesha wakulima nchini, hususan wa Mkoa wa Morogoro, kuuza mazao yao kwa bei stahiki na kuinua kipato chao kiuchumi. Wito huo umetolewa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro,…

Read More

TBS YAIPONGEZWA KWA KULINDA UBORA NA AFYA ZA WALAJI, YATAKIWA KUONGEZA NGUVU ZA USIMAMIZI

Farida Mangube, Morogoro Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa, ameipongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kazi kubwa inayofanya katika kulinda ubora wa bidhaa na afya za walaji nchini, huku akilitaka shirika hilo kuongeza juhudi zaidi katika kusimamia ubora wa bidhaa zinazozalishwa na kuingia sokoni. Dkt. Mussa ametoa pongezi hizo alipotembelea…

Read More

Senegal, Nigeria kazi ipo Zenji CHAN 2024

MICHUANO ya fainali za Kombe la Ubingwa kwa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 inaendelea tena leo kwa mechi mbili za Kundi D zitakazopigwa visiwani Zanzibar, lakini macho na masikio yanaelekezwa katika pambano la watetezi, Senegal ‘Simba wa Teranga’ dhidi ya Super Eagles ya Nigeria. Pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kuanzia saa…

Read More

TCRA YAWAFUNDA BLOGA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

  Na Mwandishi Wetu WAZALISHAJI wa Maudhui Mtandaoni,jana wameaswa kutotoa taarifa ambazo zitaleta taharuki na machafuko ndani ya nchi hasa katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakao fanyika baadaye mwaka huu (2025). Yamesemwa hayo jana tarehe 3,Agosti 2025 na Meneja Kitengo cha Huduma za Utangazaji,TCRA, Injinia Andrew Kisaka wakati akiwasilisha…

Read More