BEI YA PETROLI AGOSTI 2025 MSEREREKO

 ::::: Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano Agosti 6, 2025, zikionesha kupungua kwa bei ya petroli kwa shilingi 34 kwa mafuta yaliyopokelewa bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara mtawalia.  Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt…

Read More

UNHCR inahimiza Pakistan kuacha kurudi kwa wakimbizi wa Afghanistan – maswala ya ulimwengu

Alionyesha wasiwasi fulani juu ya shida ya wanawake na wasichana waliorudishwa Afghanistan, ambayo imekuwa chini ya utawala wa Taliban kwa miaka minne. Mnamo Julai 31, Pakistan ilithibitisha kwamba wakimbizi wa Afghanistan wataondolewa chini ya mpango wa ‘Wageni wa Kurudisha Wageni’. UNHCR amepokea ripoti za kukamatwa na kuwekwa kizuizini kwa Waafghanistan kote nchini, pamoja na wamiliki…

Read More

Bingwa mtetezi aanza vyema CHAN 2024

BINGWA mtetezi wa michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za ndani (CHAN), Senegal imeanza vizuri kampeni za kutetea taji hilo baada ya kuifunga Nigeria ‘Super Eagles’, bao 1-0, katika pambano nzuri na la kuvutia baina ya miamba hiyo. Pambano hilo la kundi D, lililochezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, lilishuhudia…

Read More

Polisi sita mbaroni wakihusishwa na kutoweka kwa bodaboda

Dar/Mikoani. Mambo mapya yamejitokeza kuhusu tuhuma zinazowakabili baadhi ya askari polisi, wakiwemo wa Kitengo cha Intelijensia mkoani Kilimanjaro, wanaodaiwa kukamatwa kuhusiana na kutoweka kwa mshukiwa wa uhalifu ambaye mwili wake haujapatikana. Taarifa zinaeleza kuwa askari hao walikamatwa kufuatia uchunguzi ulioanzishwa baada ya kupotea kwa Deogratius Shirima (35), dereva maarufu wa bodaboda mjini Moshi, ambaye alitoweka…

Read More

BoT yaainisha mikakati kukuza sekta ya kilimo yaainishwa

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetenga Sh1 trilioni kama dhamana kwenye benki za maendeleo na zile za kibiashara, ili ziweze kuwakopesha wakulima waliokidhi vigezo vya mikopo lakini hawana dhamana. ‎‎Wakizungumza leo Jumanne Agosti 5, 2025 kwenye aonyesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) yanayoendelea mkoani Dodoma, wadau kutoka taasisi hizo wamesema mikopo hiyo imetolewa…

Read More

Saba kortini wakidaiwa kuingiza tani 11 za dawa za kulevya

Dar es Salaam. Washtakiwa saba, wakiwemo raia wa Sri Lanka wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka moja la kuingiza sampuli za dawa za kulevya aina ya mitragyna speciosa zenye uzito wa kilo 11,596. Dawa hizo zinaelezwa kuwa na madhara sawa na heroini, kokeini na methamphetamine. Miongoni mwa madhara yake kwa watumiaji…

Read More