Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Fadhili Liwaka ameongoza kura 4703 za wajumbe jimbo la Nachingwea za kuomba ridhaa ya kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge wa jimbo hilo.
Mpinzani wake mkubwa, Hassan Massala amefuatia kwa kuwa na kura 3307.
Jumla ya kura zote: 11978
Kura halali zilizopigwa: 9471
FADHILI ALLY LIWAKA 4703
HASSAN ELIAS MASALA – 3307
AMANDUSI CHINGUILE – 599
MAIMUNA PATHAN – 428
MOHAMEDI UNGELE – 338
ISSA MKALINGA – 116
Tofauti ya kura Kati ya LIWAKA na MASALA ni kura 1396.