Wafugaji wahimizwa ufugaji wenye tija

Simiyu. Wafugaji nchini wametakiwa kuachana na ufugaji wa mazoea na kuanza kutumia mbinu za kisasa ili kukidhi mahitaji makubwa ya soko la nyama la ndani na nje ya nchi. Akizungumza leo Ijumaa, Agosti 8, 2025 Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi alipotembelea banda la maonyesho ya mifugo la Halmashauri ya Wilaya ya Maswa…

Read More

Wakulima 5,000 wajisajili kwenye mfumo kupata mbolea

‎Dodoma. Jumla ya wakulima 5,156 wamejisajili kwenye mfumo wa kusajili wakulima nchini ili waweze kupata ruzuku ya mbolea kutoka Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (Tosci) kwenye maonyesho ya wakulima, wavuvi na wafugaji (Nanenane) jijini Dodoma. ‎Aidha, wakulima hao wamepata elimu ya kujua mbegu bora zilizothibitishwa na Tosci ili kuondokana na malalamiko ya kununua…

Read More

Wakala wa ugani, maabara kupaisha kilimo

Dodoma/Dar. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa wakala wa huduma za ugani nchini, utakaorahisisha utoaji huduma kipindi chote cha mwaka, huku akitaka ofisi zake za makao makuu ziwe Nanenane mkoani Dodoma. Sambamba na hilo, ametaka viwanja vya maonyesho ya Nanenane jijini Dodoma viitwe jina la Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, kuenzi utumishi wake katika nafasi…

Read More

BI. OMOLO APONGEZA WIZARA YA FEDHA NA TAASISI ZAKE KWA UTOAJI WA ELIMU MAONESHO YA NANENANE DODOMA.

Naibu Katibu Mkuu (Huduma za Hazina), Wizara ya Fedha, Bi. Jenifa Christian Omolo, akipokea zawadi ya mfuko wenye machapisho mbalimbali kutoka kwa Afisa Mikopo wa Taasisi ya Self, Bi. Singoh Boniphace, wakati alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha, kwenye Maonesho ya Nanenane yaliyofanyika Kitaifa katika Viwanja vya Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma, yenye kauli mbiu “Chagua…

Read More

JICA YATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NCHINI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) limetoa mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini, ikiwa ni juhudi za kuwajengea uelewa kuhusu shughuli za maendeleo zinazotekelezwa na shirika hilo nchini Tanzania. Mafunzo hayo, ambayo yalifanyika jijini Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki…

Read More

Benki ya NBC Yaishukuru Serikali Kuzisogeza Taasisi za Fedha Karibu na Wakulima.

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imepongeza hatua ya serikali ya kuboresha mfumo wa mauzo ya mazao ya wakulima hususani kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani ambao kwa kiasi kikubwa umeziwezesha taasisi mbalimbali za kifedha nchini ikiwemo benki hiyo kuweza kuwafikia wakulima kwa urahisi. Hatua hiyo pamoja na mipango mingine, inatajwa kuwa imezirahisishia zaidi taasisi hizo…

Read More

KAMISHNA BADRU AWATAKA ASKARI WA JESHI LA UHIFADHI NCAA KUZINGATIA WELEDI KATIKA KAZI.

Na Mwandishi wetu, Pololeti Ngorongoro Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-razaq Badru amewataka askari wa uhifadhi katika Pori la Akiba la Pololeti Wilayani Ngorongoro kuzingatia maadili, weledi na matokeo ya kazi wanazozifanya ili kulinda hadhi ya jeshi hilo. Kamishna Badru ametoa rai hiyo alipokuwa katika ziara ya kikazi na kuzungumza…

Read More

Sababu petroli kushuka, dizeli kupanda Zanzibar

Unguja. Wakati bei ya petroli ikishuka kwa asilimia 0.6, bei ya dizeli imepanda kwa asilimia 5.81 visiwani Zanzibar. Akitangaza bei mpya leo Agosti 8, 2025, Meneja Kitengo cha Uhusiano cha Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), Mbaraka Haji amesema bei hizo zitaanza kutumika kesho Agosti 9, 2025. Kwa mujibu wa…

Read More