Ateba akitoka, huyu anaingia! | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kikiwa kambini jijini Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano na kuna kazi ya maana inaendelea kufanywa na kocha Fadlu Davids akisuka kikosi kwa akili na hesabu zake na habari mpya ni mipango yake ya kuunda safu mpya ya ushambuliaji. Kocha Fadlu anayesimamia usajili wa kikosi hicho, amejulishwa kwamba…

Read More

Conte, Casemiro wafunika Yanga | Mwanaspoti

KATIKA kambi ya mazoezi ya Yanga yanayoendelea kwa sasa pale KMC Complex, Dar es Salaam ikijiandaa na msimu mpya wa mashindano kuna balaa la mastaa wapya wa timu hiyo ambao Mwanaspoti lilipata nafasi ya kuwaona wanakiwasha, lakini gumzo ni Moussa Bala Conte na AbdulNasir Mohammed ‘Casemiro’. Yanga inajifua karibu wiki sasa kwenye uwanja huo uliopo…

Read More

Ceasiaa yabeba wawili Kenya | Mwanaspoti

CEASIAA Queens inayoshiriki Ligi ya Wanawake (WPL) inafanya maboresho ya usajili kuelekea msimu ujao wa mashindano na inaelezwa imemalizana na wachezaji wawili kutoka Kenya na mmoja kutoka DR Congo. Timu hiyo ilimaliza nafasi ya sita msimu uliopita kwenye mechi 18, imeshinda sita, sare tatu na kupoteza mechi tisa, ikifunga mabao 25 na kuruhusu 37, ikikusanya…

Read More

Kwa haya nampongeza kocha Morocco

JUMAMOSI iliyopita, Kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ aliiwezesha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024. Kabla ya hapo, Taifa Stars haikuwahi kupata ushindi katika mechi ya kwanza ya hatua ya makundi ya fainali hizo katika awamu mbili tofauti ilizowahi kushiriki hapo…

Read More