
PPAA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA, WAZABUNI MAONESHO YA NANENANE
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) inashiriki Maonesho ya NaneNane Kitaifa yanaendelea katika Viwanja vya Maonesho vya Nzuguni Jijini Dodoma kutoa elimu kuhusu ununuzi wa Umma kwa wazabuni, hususan elimu kuhusu Moduli ya kupokea na kushughulikia Malalamiko na Rufaa katika mfumo wa NeST. Akiongea kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James…