Mkutano wa UN huko Turkmenistan hufunika na barabara mpya ya ujasiri – maswala ya ulimwengu

Uliofanyika chini ya mada Kuendesha maendeleo kupitia ushirikaMkutano wa siku nne unaojulikana kama Lldc3walileta pamoja wakuu wa nchi, maafisa waandamizi wa UN, washirika wa maendeleo, na viongozi wa sekta binafsi kukabiliana na changamoto zinazoendelea zinazowakabili LLDC, pamoja na gharama kubwa za biashara, miundombinu ya kutosha, na hatari ya mabadiliko ya hali ya hewa. Iliyowekwa na…

Read More

Jumamosi ya Ushindi Hii Hapa

Kama kawaida siku chache zimebakia ligi mbalimbali kurejea huku zingine zikiwa tayari zimereja. Suka jamvi lako la ushindi kwenye mechi za kirafiki uweze kutusua na wakali wa ubashiri hapa. Mapema kabisa Manchester United atakipiga dhidi ya ACF Fiorentina kutoka Italia ikiwa ni moja ya timu ambazo ni za daraja la kati. United wanaendelea kujifua kuendelea…

Read More

NCHIMBI AKIPOKEA BARAKA ZA MAMA YAKE MZAZI

Mama mzazi wa Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi akimpa baraka mwanaye muda mfupi kabla ya mgombea huyo mwenza kwenda kuungana na mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, kuchukua fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu leo, tarehe 9 Agosti 2025, katika Tume Huru ya Uchaguzi (INEC).

Read More

Mauritania yainyoosha Afrika ya Kati

TIMU ya taifa la Mauritania imeinyoosha Jamhuri ya  Afrika ya Kati kwa  bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Mchezo huo ni wa   kundi B la mashindano ya CHAN 2024. Bao hilo la mapema la dakika ya tisa kupitia kwa Ahmed lilitosha kuzima ndoto za Afrika ya Kati  kutoboa katika…

Read More