Sababu kifo cha Job Ndugai

Dar es Salaam. Katibu wa Bunge la Tanzania, Baraka Leonard amesema Spika mstaafu wa Bunge, Job Ndugai amefariki dunia kutokana na shinikizo la damu kushuka, iliyosababishwa na maambukizi makali kwenye mfumo wa hewa. Ndugai alifariki dunia saa 9 alasiri ya Agosti 6, 2025 jijini Dodoma baada ya kuugua kwa muda mfupi. Aliyewahi kuwa Spika wa…

Read More

Mzize aendeleza rekodi michuano ya CAF

MABAO mawili aliyofunga dakika ya 13 na 20 yaliyoiwezesha Taifa Stars kutinga robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, Clement Mzize kuendeleza rekodi tangu katika michuano inayoendeshwa na CAF. Mzize aliiwezesha Stars kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Madagascar ikiwa ni wa tatu mfululizo wa Kundi B na kutinga robo fainali kwa mara ya…

Read More

Ndugai alikuwa zawadi kwa wazazi, Taifa

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Kondoa, Given Gaula amemtaja Spika wa Bunge mstaafu, Job Ndugai kuwa zawadi kwa wazazi wake, mkewe, wanawe na Taifa la Tanzania. Enzi za uhai wake, amesema Mungu amemtumia Ndugai kwa namna ya ajabu na ameacha alama hata kwa wanaomkosoa wataangalia zaidi upande wa haki ili…

Read More

Unavyoweza kuishi na mwenza mmbeya | Mwananchi

Kuishi na mwenza mmbeya ni changamoto kubwa katika maisha ya ndoa au uhusiano wa kimapenzi. Mwenza mmbeya ni yule mwenye tabia ya kuropoka siri, mfuatiliaji na mtangazaji wa mambo ya watu. Pia hujumuisha mtu anayependa kubeza, kulalamika kila mara, au kushusha thamani ya mwenzake mbele ya wengine. Watu wengi wamejikuta wakiumia kihisia, kiakili na hata…

Read More

Sura tofauti waume kuwalipa mshahara wake zao

Katika jamii nyingi duniani, mjadala kuhusu nafasi ya mwanamume na mwanamke katika familia na kazi umekuwa ukizua maswali mbalimbali kuhusu usawa, wajibu, na haki. Moja ya hoja ambazo zimekuwa zikijitokeza mara kwa mara ni kama ni sahihi kwa waume kuwalipa wake zao mishahara kwa kazi wanazozifanya nyumbani au kwa mchango wao katika familia. Fredrick Joshua,…

Read More

Makosa matano ya wazazi kwenye malezi

Dar es Salaam. Wazazi wana jukumu kubwa katika ukuaji na malezi ya watoto wao. Malezi bora humsaidia mtoto kukua akiwa na maadili mema, kujiamini, na kuwa raia mwema katika jamii. Hata hivyo, pamoja na nia njema ya kuwalea watoto vizuri, wazazi mara nyingi hufanya makosa ambayo huathiri ukuaji wa mtoto kimwili, kihisia na kiakili. Makosa…

Read More

Kuna uchaguzi wa Oktoba na ule wa nyumbani kwako

Dar es Salaam. Oktoba 2025 ndio hiyo inakaribia, muda wa uchaguzi mkuu. Na kama kawaida, hiki ndo kipindi ambacho kila mwanasiasa anataka kushinda tena kwa kishindo. Atachapisha mabango yenye sura yake na tabasamu kubwa, atahutubia mitaani kwa amsha amsha ya matumaini, atatoa ahadi za kuboresha maisha, za uongo na kweli, na atatumia kila dakika kujisafisha…

Read More

Samatta kulipwa kibosi Ufaransa | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa akilipwa kibosi huko Ufaransa kufuatia kujiunga na Le Havre AC inayoshiriki Ligue 1, akiwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kuvaa jezi ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa makadirio ya mishahara ndani ya Ligue 1, wachezaji wa timu za kiwango cha kati kama Le Havre hupokea kati…

Read More