Elimu ya amali inaweza kututoa Watanzania

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa inayobadilika kwa kasi kubwa, siyo tu maarifa ya kinadharia yanayohitajika, bali pia uwezo wa kivitendo, yaani ujuzi wa amali.  Elimu ya amali, ambayo mara nyingi hufananishwa na elimu ya ufundi au elimu ya ujuzi, ndio njia bora ya kuandaa vijana kwa maisha ya kazi, uvumbuzi, na kujitegemea.  Elimu…

Read More

Siku 407 bila kupatikana muuguzi wa KCMC aliyetoweka

Moshi. Ikiwa zimepita siku 407 tangu kutoweka kwa muuguzi wa idara ya masikio, pua na koo (ENT), Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC, Lenga Masunga Ng’hajabu (38) familia imesema bado hawajakata tamaa kumtafuta. Muuguzi huyo anadaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Julai 2, mwaka 2024, mtaa wa Rau Pangaleni, Wilaya ya Moshi, mkoani…

Read More

TRA yaongeza muda wa kujisajili wafanyabiashara mtandao

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeongeza muda kujisajili kulipa kodi kwa watu binafsi na taasisi zote zinazojihusisha na biashara mtandao, sasa ukomo wake  hadi Desemba 31, 2025 kutoka Agosti 31. Nyongeza ya muda huo, haiwahusu, wafanyabiashara wakubwa wanaofanya biashara ya kupangisha nyumba kupitia mitandao, wamiliki na waendeshaji wa majukwaa ya kidijitali ambapo…

Read More

Mgombea urais aliyepigwa risasi Colombia, afariki dunia

Seneta Miguel Uribe Turbay alipigwa risasi kichwani wakati wa mkutano wa hadhara huko Bogota, Colombia. Taarifa za kifo cha Uribe (39) zimetolewa na mke wake, Maria Claudia, Jumatatu, 11 Agosti 2025, ambaye amesema kifo hicho kimetokana na mumewe kuvuja damu kwenye mfumo wa neva baada ya kupigwa risasi. “Alikuwa anatibiwa hapa kwenye Hospitali ya Wakfu…

Read More

Usichokijua kuhusu kupikia ubwabwa kwenye gesi

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Taasisi ya Global Environment Foundation, Glory Shayo amesema kwamba kuna dhana potofu katika jamii kuwa ubwabwa unaopikwa kwa kutumia gesi hakina ladha nzuri kama kile kinachopikwa kwa kuni au mkaa, jambo ambalo si sahihi. Akizungumza leo Jumatatu Agosti 11, 2025 katika mjadala wa Mwananchi X Space ulioandaliwa na Kampuni ya Mwananchi…

Read More

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MAZISHI YA SPIKA MSTAAFU NDUGAI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai katika mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Msunjulile Kongwa, Mkoani Dodoma, Agosti 11, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye mazishi ya Spika…

Read More