Clara Luvanga awa gumzo Hispania

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Clara Luvanga ameendelea kukiwasha akiwa na Al Nassr ya Saudia ambayo imeweka kambi huko Hispania kwa maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake. Huu ni msimu wa tatu wa Clara kuichezea timu hiyo na amekuwa mchezaji tegemeo kikosini akiipa ubingwa mara mbili mfululizo akifunga mabao 32. Sasa, wakati timu hiyo…

Read More

Yahya Mbegu atua Mbeya City

BEKI mahiri wa zamani wa Singida Black Stars, Yahya Mbegu amedaiwa kujiunga na Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, akiungana na wachezaji wengine aliowahi kukipiga nao Singida na Mashujaa waliotua katika timu hiyo ya Mbeya. Beki huyo wa kushoto ambaye msimu uliopita aliitumikia Mashujaa kwa mkopo inadaiwa amesaini mkataba wa mwaka mmoja…

Read More

Kocha Tanzania Prisons azionya Simba, Yanga

KOCHA Mkuu wa Tanzania Prisons, Zedekiah Otieno amesema licha ya kuwa mara ya kwanza kufundisha soka Tanzania, lakini uwezo na uzoefu alionao katika kazi hiyo itakuwa fursa kwake kujitangaza ndani nje ya Afrika, huku akivionya vigogo, Simba, Yanga na Azam FC. Akizungumza na Mwanaspoti, kocha huyo raia wa Kenya, alisema kwa muda mrefu amekuwa akitamani…

Read More

Uganda, Niger kazi ipo Kampala

UHONDO wa fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 unaendelea leo Jumatatu kwa mechi mbili za Kundi C zitakazopigwa jijini Kampala, mapema saa 11:00 jioni Afrika Kusini itajiuliza mbele ya Guinea, ilihali saa 2:00 usiku wenyeji Uganda watakuwa na kibarua kizito mbele ya Niger. Bafana Bafana iliyoanza michuano hiyo kwa sare ya 1-1…

Read More

Hatutaki lawama | Mwanaspoti

SIMBA inaendelea kupikwa upya kule Ismailia, Misri, ikipania kutaka kufanya mapinduzi makubwa msimu ujao ikiyataka mataji, lakini watani wao wa jadi, Yanga walikuwa nchini wamejichimbia KMC Complex wakiwa na mipango ya kuwafuata Wekundu hao hukohuko ughaibuni. Ndio, Yanga imeenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya tamasha maalumu litakaloambatana na mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya…

Read More

“Hakuna suluhisho la kijeshi” kumaliza migogoro ya Israeli-Palestina, Baraza la Usalama linasikia, wakati njaa inapiga kamba ya Gaza-maswala ya ulimwengu

Maafisa wawili wa juu wa UN walionya kwamba taa ya baraza la mawaziri la Israeli wiki hii kwa kukera mpya inayolenga kupata udhibiti kamili wa kijeshi wa Jiji la Gaza – nyumbani kwa Wapalestina karibu milioni moja – wangehatarisha tu “sura nyingine ya kutisha” ya kuhamishwa, kifo na uharibifu. Miroslav Jenča, Katibu Msaidizi Mkuu wa…

Read More