
ZAIDI YA WAOMBAJI 62,000 WAKAMILISHA MAOMBI YA MIKOPO HESLB
::::::::: Na Mwandishi Wetu BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuwa hadi sasa waombaji 62,950 wamekamilisha na kuwasilisha maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kati ya jumla ya waombaji 107,059 waliojisajili katika mfumo rasmi wa bodi hiyo. Taarifa hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji…