Simba yamvizia kiungo wa Stars

KAMA ulidhania Simba imefumba jicho la usajili basi umekosea, licha ya kwenda Misri kujiandaa kwa msimu mpya wa mashindano ya msimu ujao wa 2025-26, lakini mabosi wa klabu hiyo wanaendelea kusaka vyuma na sasa inadaiwa wametua KMC wakitaka kiungo mkabaji aliyepo Taifa Stars. Simba imeweka kambi katika jijini la Ismailia ikiwa inaingia wiki ya pili…

Read More

Yanga yawabakiza mabeki | Mwanaspoti

KATIKA kuhakikisha inajiandaa na msimu mpya wa Ligi ya Wanawake, inaelezwa Yanga Princess imewaongezea mikataba wachezaji wawili kuendelea nao msimu ujao. Mabeki hao ni Diana Mnally na rafiki yake wa karibu Protasia Mbunda, waliokuwa wamejiunga na Yanga Princess msimu uliopita wakitokea Gets Program. Inaelezwa nyota hao walionyesha kiwango bora msimu uliopita, hali iliyowashawishi viongozi wa…

Read More

Uganda yaendelea kugawa dozi, ikiizima Niger

TIMU  ya taifa ya Uganda The Cranes, imeendelea kung’ara katika michuano ya CHAN 2024 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Niger ikiwa ni mechi yao ya tatu ya Kundi C iliyopigwa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, jijini Kampala. Uganda ilianza michuano hiyo kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka Algeria, lakini imezinduka…

Read More