UNESCO inalaani mauaji ‘yasiyokubalika’ ya waandishi wa habari – maswala ya ulimwengu

“Ninalaani mauaji ya waandishi wa habari Anas al-Sharif, Mohammed Qreiqeh, Ibrahim Zaher, Mohammed Noufal, Moamen Aliwa, na Mohammed al-Khaldi na wito kwa uchunguzi kamili na wa uwazi,” UNESCOMkurugenzi Mkuu, Audrey Azoulay, alisema katika a taarifa Jumanne. Watano kati ya sita walifanya kazi kwa shirika lenye ushawishi mkubwa wa vyombo vya habari vya Qatari, Al Jazeera:…

Read More

CCM yakusanya zaidi ya Sh86 bilioni chini ya saa 24

Dar es Salaam. Ndani ya saa 24, Chama cha Mapinduzi (CCM), kimekusanya zaidi ya Sh86 bilioni katika harambee iliyoanzishwa ya kuchangia shughuli za kampeni za urais na ujenzi wa chama hicho. Kati ya fedha hizo, zaidi ya Sh56.3 bilioni zimelipwa papohapo, huku zaidi ya Sh30.2 bilioni ni ahadi zinazotarajiwa kulipwa na wadau, makada na washabiki…

Read More

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. SAMIA AONGOZA HARAMBEE YA KUCHANGIA FEDHA ZA KAMPENI

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongoza viongozi, wanachama, wapenzi, wakereketwa wa CCM na Watanzania wapenda maendeleo katika harambee ya kuchangisha fedha, iliyolenga kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya kampeni za CCM za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025,hafla hiyo inaendelea katika…

Read More

WADAU WAKUTANA KUJADILI UHIFADHI WA BONDE LA MTO KILOMBERO

Farida Mangube, Morogoro Wadau wa uhifadhi na maendeleo katika Bonde la Mto Kilombero wamekutana kujadili changamoto na fursa zilizopo katika kulinda ikolojia ya bonde hilo, huku wakitafuta mbinu za pamoja za kuhakikisha maendeleo na uhifadhi vinakwenda sambamba. Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa ufadhili wa Shirika la African Wildlife…

Read More

DKT. EGBERT MKOKO: BLOGU ZISITUMIKE VIBAYA UCHAGUZI MKUU

Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM – Mhadhiri wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC), Dkt. Egbert Mkoko, amewataka waendeshaji wa blogu nchini kuepuka kuzitumia vibaya katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza katika mafunzo maalumu ya bloga yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa…

Read More

WATUMISHI WAPYA HANDENI MJI WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI UTUMISHI WA UMMA

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju, akziungumza wakati WA mafunzo ya awali Kwa watumishi watumishi wapya wa halmashauri hiyo. Na Mwandishi wetu, Handeni MKURUGENZI wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju, amewataka watumishi wapya wa halmashauri hiyo kuzingatia taratibu, sheria na miongozo ya utumishi wa umma katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku….

Read More

UKOMBOZI WA KIUCHUMI NI SAFARI NDEFU, SADC YAKUMBUSHWA

Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea.  Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara za Kimataifa wa Zimbabwe, Prof. Amon Murwira kabla ya kukabidhi uenyekiti wa…

Read More