
Watu 25 Wafukiwa na Kifusi Shughuli za Ukarabati Mgodi Shinyanga – Video – Global Publishers
Last updated Aug 13, 2025 Watu 25 wamefukiwa na kifusi katika mgodi mdogo wa dhahabu unaomilikiwa na Kikundi cha Wachapakazi, uliopo Kijiji cha Mwongozo, Kata ya Mwenge, Halmashauri ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, baada ya mgodi huo kutitia wakati wa zoezi la ukarabati wa maduara. Tukio hilo limetokea majira ya asubuhi…