
Timu Ligi ya Mabingwa yamtaka kocha wa Mbao
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Zimbabwe, Simba Bhora FC wako kwenye hatua za mwisho za kumalizana na aliyekuwa Kocha wa Mbao FC na Alliance za Mwanza, Godfrey Chapa ili awe kocha msaidizi. Simba Bhora FC ni wawakilishi wa Zimbabwe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kutwaa ubingwa msimu uliopita ikiwa ni msimu…