Timu Ligi ya Mabingwa yamtaka kocha wa Mbao

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Zimbabwe, Simba Bhora FC wako kwenye hatua za mwisho za kumalizana na aliyekuwa Kocha wa Mbao FC na Alliance za Mwanza, Godfrey Chapa ili awe kocha msaidizi. Simba Bhora FC ni wawakilishi wa Zimbabwe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kutwaa ubingwa msimu uliopita ikiwa ni msimu…

Read More

Azam FC yashusha Mtunisia | Mwanaspoti

HUENDA Azam FC ikimtambulisha mshambuliaji, Baraket Hmidi Agosti 15 na anatarajia kuingia nchini muda wowote kwa ajili ya kukamilisha taratibu za vipimo ili aweze kuungana na wenzake waliopo kambini Arusha, kujiandaa na msimu mpya. Chanzo cha ndani kilisema Azam imemsajili Hmidi kutoka klabu ya CS Sfaxien na ilielezwa huenda akawa wa mwisho na baada ya…

Read More

EQUITY BANK YADHAMINI MKUTANO WA WAKANDARASI WANAWAKE, YAPANIA KUINUA UWEZESHAJI WA KIUCHUMI

::::::::: Equity Bank Tanzania imeendeleza dhamira yake ya kukuza huduma za kifedha kwa wafanyabiashara wadogo na wa kati (MSEs na SMEs) kwa kudhamini Mkutano Mkuu wa Chama cha Wakandarasi Wanawake Tanzania (TWCA),hatua hii inalenga kutoa mchango wa moja kwa moja katika juhudi za kitaifa za kuwawezesha wanawake kiuchumi, hususan katika sekta ya ujenzi inayokua kwa…

Read More

Skauti West Ham akodolea macho CHAN

MASHINDANO ya CHAN 2024 yanaendelea kuwavuta wadau mbalimbali wa soka wakiwemo maskauti kutoka kila pembe ya dunia kwa ajili ya kutazama vipaji vya ndani katika Ukanda wa Afrika Mashariki. Miongoni mwa waliokuwa wakifuatilia kwa karibu mechi za Taifa Stars katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ni pamoja na Charton, mchunguzi wa vipaji…

Read More

Msako mwingine robo fainali kupigwa leo

MSAKO wa kuisaka tiketi ya kucheza robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inaendelea leo kwa mechi mbili za kundi A kupigwa ambapo Morocco itacheza na Zambia inayoburuza mkiani. Mechi hiyo itakayopigwa kwenye Uwanja wa Kasarani, Nairobi itapigwa kuanzia saa 11:00 jioni kisha mtanange mwingine wa kundi A kati…

Read More

Tanzania, Nigeria zaweka rekodi Chan 2024

REKODI ni rekodi tu, haijalishi nzuri au mbaya. Unaweza kusema hivyo kufuatia kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars na ile ya Nigeria ijulikanayo kwa jina la Super Eagles. Timu hizo mbili hadi kufikia usiku wa Agosti 12, 2025 ndiyo pekee zilikuwa zinafahamu zimevuna nini kwenye michuano ya Chan 2024 inayoendelea kuchezwa…

Read More

Andrew Chamungu atua Namungo FC

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Songea United, Andrew Chamungu amekamilisha usajili wa kujiunga na Namungo, huku nyota huyo akipewa mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwingine. Chamungu aliyewahi kutamba na timu mbalimbali zikiwamo za, Polisi Tanzania, Mbuni na Kitayosce ambayo kwa sasa ni Tabora United, amekamilisha dili hilo la kujiunga na kikosi hicho na sasa…

Read More

Yanga yavuta winga mpya | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikijipanga kumalizana na Singida Black Stars juu ya beki Frank Asink, kuna mwingine ameshatangulia kambi ya mabingwa hao akijifua na jana alitarajiwa kusafiri na chama hilo kwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kirafiki na Rayon ya huko. Hiyo ni mosi, pili ni kwa kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Bara kimeondoka…

Read More

Kiungo Mguinea atua Misri kimyakimya

SIMBA ni kama ulivyosikia huko Misri imeshaanza kushusha dozi wakati ikitesti mitambo na habari mpya ni kuongezwa kwa kiungo mwingine ambaye kocha wa timu hiyo Fadlu Davids ameshushiwa kambini. Juzi, timu hiyo iliisulubu Kahraba Ismailia ya nchini humo kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kirafiki ambao chama hilo lilicheza ikiwa ni mara ya kwanza kukipiga…

Read More